Wapendwa naona kama mwisho wangu umekaribia

Wapendwa naona kama mwisho wangu umekaribia

Status
Not open for further replies.
Habari za wakati huu,

Sijui wapi pa kuanzia Ila tangia mwaka 2018 niliamua kuacha kazi na kuanza maisha ya kujiajiri.

Kazi niliacha baada ya kuona biashara zangu zingine ndogo ndogo zinalipa Ila changamoto ilikuwa ni kukosa usimamizi nzuri.

Pia sababu nyingine ilikuwa kutoelewana na supervisor wangu kutokana na roho ya kijicho kuona maendeleo niliyokuwa nayo hayaendani na mshahara ninaopata.ingawaje sikuwahi kuwa na loss yoyote au kujibizana naye Ila alichokuwa anafanya kunipiga Vita ya chinichini.kwanza mmiliki wa kampuni alikuwa ni mwenyeji wa Kanda ya ziwa hivyo kufanya asilimia kubwa ya wafanyakazi kuwa watu wa Kanda ya ziwa.

Pili kwenye vitengo vyote waliweka watu wa Kanda ya ziwa. Mimi peke yangu ndio nilikuwa mtu wa kaskazini.hii ilipelekea supervisor wangu kutengeneza na kueneza sumu ya chuki kwa urahisi kuwa watu wa kaskazini ni wezi .turudi kwenye mada

Baada ya kuacha kazi mambo yalinyooka kuliko mwanzoni.niliwaza muda wote nilikuwa wapi kwanini sikuingia mapema kwenye biashara.Ndani ya miaka mitatu nilifanikiwa kupata sehemu ya kujihifadhi na kausafiri kutokana na wakati mwingine Mishe zangu zilikuwa za udalali.

Mwishoni wa mwaka 2022 mambo yalianza kwenda mrama baada ya kuhamia kwenye kibanda changu.Mama yangu mzazi alikuwa akiumwa kifundo Cha mguu na pilingili mbili za mgongo zilikatika pia na sukari ilikuwa ikimsumbua.Hivyo ilibidi aje dar as salaam kwa ajili ya tiba

Tulipambana naye kwa wakorea pale mbezi kwa msuguri ikashindikana tukahamia mhimbili huko nako hakukuwa na nafuu ya kudumu.wakati huo nilikuwa na mtoto mdogo ambaye alikuwa Hali chakula Wala usiku halali.Lakini changamoto haikushia hapo kwenye maisha ya nyumbani.usiku kulikuwa hakuna kulala Mara watu wanagonga mlango wengine wanafagia nje .ukichungulia nje huoni mtu yoyote .hili nilimaliza kwa njia maombi

Changamoto hizi hazikuishia nyumbani tu Bali hata sehemu zangu za kutafuta ridhki.nilikuwa na ofisi mbili moja ya uwakala nyingine ya duka la vinywaji vya jumla na rejareja.Pesa nyingine nilikuwa nazungushia kwenye udalali.

Siku isiyokuwa na jina naenda kufunga hesabu kwenye ofisi ya uwakala mambo hayakuwa mazuri.Wakala hakuwa na cash yoyote wa float.pesa iliyokuwepo ilikuwa ni kamisheni jumla yake Kama laki tatu na machenchi.kuulizia pesa nyingine nikaambiwa iko kwa wakala mwenzake.basi pale tukagawana faida nikaondoka.kufupisha stori Yule wakala alikuja akasema pesa ametapeliwa hivyo atanilipa mdogo mdogo.

Wakati huo nimeshauza gari la kutembelea ili ninunue guta.kumbe guta limeuzwa Mara mbili na Mimi ndiye mtu wa pili .kufupisha guta sikupata niliishia kulipwa mdogo mdogo.

Duka la vinywaji Mambo hayakuwa mazuri nilichezea vitasa Sana kwa TRA kutokana na mambo ya risiti .mbaya zaidi madeni yalikuwa mengi kwenye mabar na mapub .kuna meneja alifukuzwa kazi ,Kuna miliki alishindwa kulipa Kodi ya mwaka mzima Kama mwenye nyumba anavyotaka.

Kifupi ndani ya mwezi wa 11 mwaka 2022 maji yalifika shingoni ikabidi niende nyumbani Kilimanjaro kupumzisha akili.huku nikiwa siamini ni nini kilichonitokea.hatimaye Kodi ya duka iliisha duka nikarudisha kwa mwenye nalo.nikauza vitu vyote vya dukani pia asilimia kubwa niliuzia members wa if.

Tokea hapo maisha yakawa ni kuunga unga mjini kwa kutumia uzoefu .Naishi kwa kulipwa madeni na kuongeza madeni mapya .nikajaribu kutafuta kazi mtaani na humu jf Lakini sikufanikiwa mpaka Sasa bado mambo yamekuwa magumu.

Kusudi la kuandika haya yote wakuu kwa Sasa nimekosa rafiki au hata mtu wa karibu wa kuzungumza naye magumu ninayopitia.mke amerudi kwao amechoka kukaa na mtu anayeishi maisha ya kubahatisha .Nimeamini wakati wa magumu hata wapendwa wako wa karibu wanajitenga na wewe

Wakuu najiona kama nafika mwisho na siku zangu zinahesabika kwa sababu nimebaki na mama yangu na mtoto wangu mdogo.wote wananitazama Mimi Lakini kiukweli jaribu limekuwa kubwa kuliko uwezo wangu.madukani madeni yamefika mwisho.

Wakati mwingine huwa napiga saidia fundi ikipatikana maisha yanaenda japo nakuwa slow kutokana sio mzoefu na hizo Kazi.Pia Nina diploma ya mechanical engineering na leseni class d ,e na c1,c2 na c3 Ila leseni kwa Sasa leseni ni ya kurenew

Napatikana kibaha kwa Mathias wakuu .mwenye ajira yoyote ya halali naomba anishike mkono
Kitu pekee Kina wafanya watu wang'ang'ane na ajira kwenye serikali na mashirika ya umma ni swala la ulinzi na usalama tu. maana kuhusu hela serikalini hakuna pesa ya kukutajirisha labda uwe mwizi mwizi. wakunielewa wamenielewa
 
Habari za wakati huu,

Sijui wapi pa kuanzia Ila tangia mwaka 2018 niliamua kuacha kazi na kuanza maisha ya kujiajiri.

Kazi niliacha baada ya kuona biashara zangu zingine ndogo ndogo zinalipa Ila changamoto ilikuwa ni kukosa usimamizi nzuri.

Pia sababu nyingine ilikuwa kutoelewana na supervisor wangu kutokana na roho ya kijicho kuona maendeleo niliyokuwa nayo hayaendani na mshahara ninaopata.ingawaje sikuwahi kuwa na loss yoyote au kujibizana naye Ila alichokuwa anafanya kunipiga Vita ya chinichini.kwanza mmiliki wa kampuni alikuwa ni mwenyeji wa Kanda ya ziwa hivyo kufanya asilimia kubwa ya wafanyakazi kuwa watu wa Kanda ya ziwa.

Pili kwenye vitengo vyote waliweka watu wa Kanda ya ziwa. Mimi peke yangu ndio nilikuwa mtu wa kaskazini.hii ilipelekea supervisor wangu kutengeneza na kueneza sumu ya chuki kwa urahisi kuwa watu wa kaskazini ni wezi .turudi kwenye mada

Baada ya kuacha kazi mambo yalinyooka kuliko mwanzoni.niliwaza muda wote nilikuwa wapi kwanini sikuingia mapema kwenye biashara.Ndani ya miaka mitatu nilifanikiwa kupata sehemu ya kujihifadhi na kausafiri kutokana na wakati mwingine Mishe zangu zilikuwa za udalali.

Mwishoni wa mwaka 2022 mambo yalianza kwenda mrama baada ya kuhamia kwenye kibanda changu.Mama yangu mzazi alikuwa akiumwa kifundo Cha mguu na pilingili mbili za mgongo zilikatika pia na sukari ilikuwa ikimsumbua.Hivyo ilibidi aje dar as salaam kwa ajili ya tiba

Tulipambana naye kwa wakorea pale mbezi kwa msuguri ikashindikana tukahamia mhimbili huko nako hakukuwa na nafuu ya kudumu.wakati huo nilikuwa na mtoto mdogo ambaye alikuwa Hali chakula Wala usiku halali.Lakini changamoto haikushia hapo kwenye maisha ya nyumbani.usiku kulikuwa hakuna kulala Mara watu wanagonga mlango wengine wanafagia nje .ukichungulia nje huoni mtu yoyote .hili nilimaliza kwa njia maombi

Changamoto hizi hazikuishia nyumbani tu Bali hata sehemu zangu za kutafuta ridhki.nilikuwa na ofisi mbili moja ya uwakala nyingine ya duka la vinywaji vya jumla na rejareja.Pesa nyingine nilikuwa nazungushia kwenye udalali.

Siku isiyokuwa na jina naenda kufunga hesabu kwenye ofisi ya uwakala mambo hayakuwa mazuri.Wakala hakuwa na cash yoyote wa float.pesa iliyokuwepo ilikuwa ni kamisheni jumla yake Kama laki tatu na machenchi.kuulizia pesa nyingine nikaambiwa iko kwa wakala mwenzake.basi pale tukagawana faida nikaondoka.kufupisha stori Yule wakala alikuja akasema pesa ametapeliwa hivyo atanilipa mdogo mdogo.

Wakati huo nimeshauza gari la kutembelea ili ninunue guta.kumbe guta limeuzwa Mara mbili na Mimi ndiye mtu wa pili .kufupisha guta sikupata niliishia kulipwa mdogo mdogo.

Duka la vinywaji Mambo hayakuwa mazuri nilichezea vitasa Sana kwa TRA kutokana na mambo ya risiti .mbaya zaidi madeni yalikuwa mengi kwenye mabar na mapub .kuna meneja alifukuzwa kazi ,Kuna miliki alishindwa kulipa Kodi ya mwaka mzima Kama mwenye nyumba anavyotaka.

Kifupi ndani ya mwezi wa 11 mwaka 2022 maji yalifika shingoni ikabidi niende nyumbani Kilimanjaro kupumzisha akili.huku nikiwa siamini ni nini kilichonitokea.hatimaye Kodi ya duka iliisha duka nikarudisha kwa mwenye nalo.nikauza vitu vyote vya dukani pia asilimia kubwa niliuzia members wa if.

Tokea hapo maisha yakawa ni kuunga unga mjini kwa kutumia uzoefu .Naishi kwa kulipwa madeni na kuongeza madeni mapya .nikajaribu kutafuta kazi mtaani na humu jf Lakini sikufanikiwa mpaka Sasa bado mambo yamekuwa magumu.

Kusudi la kuandika haya yote wakuu kwa Sasa nimekosa rafiki au hata mtu wa karibu wa kuzungumza naye magumu ninayopitia.mke amerudi kwao amechoka kukaa na mtu anayeishi maisha ya kubahatisha .Nimeamini wakati wa magumu hata wapendwa wako wa karibu wanajitenga na wewe

Wakuu najiona kama nafika mwisho na siku zangu zinahesabika kwa sababu nimebaki na mama yangu na mtoto wangu mdogo.wote wananitazama Mimi Lakini kiukweli jaribu limekuwa kubwa kuliko uwezo wangu.madukani madeni yamefika mwisho.

Wakati mwingine huwa napiga saidia fundi ikipatikana maisha yanaenda japo nakuwa slow kutokana sio mzoefu na hizo Kazi.Pia Nina diploma ya mechanical engineering na leseni class d ,e na c1,c2 na c3 Ila leseni kwa Sasa leseni ni ya kurenew

Napatikana kibaha kwa Mathias wakuu .mwenye ajira yoyote ya halali naomba anishike mkono
Pole sana Ndg yangu kwa changamoto.Nimepitia huko na Bado naendelea kupambana mambo yamekuwa nafuu kuliko jana.USHAURI wangu ...
Mtangulize sana Mwenyezi Mungu,piga magoti ukiwa mwenyewe Lia na usali,akupe faraja na Amani maishani(mtumaini Bwana kwa Moyo wako wote na wala usitegemee akili zako mwenyewe ,katika shida zako umkiri yeye naye atayanyoosha maisha yako.Kama ni Mkatoliki tafuta Novena ya MTAKATIFU RITA ..
ONYO;kipindi hiki Cha majaribu usithubutu hata kidogo USHAURI wa kwenda kwa waganga
 
mkuu mjasiri na mali ww umefika hapo na kuanguka kwa biashara zako kwa kupuuza kitu kimoja muhimu sana ni ULINZI WA KIROHO ww ulikuwa mweupe hukuwa na ulinzi wa kiroho.. yaani kwenye biashara kuna level ukivuka unaamsha vita na husuda na vijicho toka kwa ndugu,marafiki,jamaa,majirani na wafanyabiashara wenzio huko site pia wachawi wa mji ulipo na ukiwa na ulinzi wa kiroho hawatoweza kukuangusha kama uliyoanguka sasa..inasemwa biashara ni vita hivyo ni lazima uchague upande iwe ni upande wa giza au upande wa nuru kamwe huwezi kusimama katikati au vuguvugu ..ushauri wangu ukipata tena mtaji kabla hujarudi kwenye biashara fanyiwa maombi kwanza kuvunja hizo nguvu hasi kwenye kanisa au mchungaji wa kweli wa mungu (achana na wanaojiita manabii sijui mtume) baada ya hapo anza kunyanyua ulinzi wako wa kiroho penda sana kwa kuacha maovu na maasi,fanya mema pia kusali sana na kufanya ibada,toa sadaka kwa yatima,wazee wasiojiweza,wajane,wagonjwa,maskini na kwa watoto wadogo na funga kazi ni jina la yesu na damu ya yesu hii ndio konki..na haya ndio yatakupa ww ulinzi kiroho upande wa nuru na usiyaache hata baada ya kujipata kibiashara bali zidisha ili ulinzi uendelee kuwa juu kwani mahasidi hawatopata tena upenyo kuvuruga njia yako watakuogopa..usiache kutoa sadaka,kufanya maombi sana na ibada na kusaidia yatima na damu ya yesu kwa imani itakutendea maajabu makubwa kiulinzi kiroho na kimafanikio ukiiamini.. na baada ya kunyanyua ulinzi wako kiroho tafuta mtaji rudi kwenye biashara utaona maajabu yake
 
Habari za wakati huu,

Sijui wapi pa kuanzia Ila tangia mwaka 2018 niliamua kuacha kazi na kuanza maisha ya kujiajiri.

Kazi niliacha baada ya kuona biashara zangu zingine ndogo ndogo zinalipa Ila changamoto ilikuwa ni kukosa usimamizi nzuri.

Pia sababu nyingine ilikuwa kutoelewana na supervisor wangu kutokana na roho ya kijicho kuona maendeleo niliyokuwa nayo hayaendani na mshahara ninaopata.ingawaje sikuwahi kuwa na loss yoyote au kujibizana naye Ila alichokuwa anafanya kunipiga Vita ya chinichini.kwanza mmiliki wa kampuni alikuwa ni mwenyeji wa Kanda ya ziwa hivyo kufanya asilimia kubwa ya wafanyakazi kuwa watu wa Kanda ya ziwa.

Pili kwenye vitengo vyote waliweka watu wa Kanda ya ziwa. Mimi peke yangu ndio nilikuwa mtu wa kaskazini.hii ilipelekea supervisor wangu kutengeneza na kueneza sumu ya chuki kwa urahisi kuwa watu wa kaskazini ni wezi .turudi kwenye mada

Baada ya kuacha kazi mambo yalinyooka kuliko mwanzoni.niliwaza muda wote nilikuwa wapi kwanini sikuingia mapema kwenye biashara.Ndani ya miaka mitatu nilifanikiwa kupata sehemu ya kujihifadhi na kausafiri kutokana na wakati mwingine Mishe zangu zilikuwa za udalali.

Mwishoni wa mwaka 2022 mambo yalianza kwenda mrama baada ya kuhamia kwenye kibanda changu.Mama yangu mzazi alikuwa akiumwa kifundo Cha mguu na pilingili mbili za mgongo zilikatika pia na sukari ilikuwa ikimsumbua.Hivyo ilibidi aje dar as salaam kwa ajili ya tiba

Tulipambana naye kwa wakorea pale mbezi kwa msuguri ikashindikana tukahamia mhimbili huko nako hakukuwa na nafuu ya kudumu.wakati huo nilikuwa na mtoto mdogo ambaye alikuwa Hali chakula Wala usiku halali.Lakini changamoto haikushia hapo kwenye maisha ya nyumbani.usiku kulikuwa hakuna kulala Mara watu wanagonga mlango wengine wanafagia nje .ukichungulia nje huoni mtu yoyote .hili nilimaliza kwa njia maombi

Changamoto hizi hazikuishia nyumbani tu Bali hata sehemu zangu za kutafuta ridhki.nilikuwa na ofisi mbili moja ya uwakala nyingine ya duka la vinywaji vya jumla na rejareja.Pesa nyingine nilikuwa nazungushia kwenye udalali.

Siku isiyokuwa na jina naenda kufunga hesabu kwenye ofisi ya uwakala mambo hayakuwa mazuri.Wakala hakuwa na cash yoyote wa float.pesa iliyokuwepo ilikuwa ni kamisheni jumla yake Kama laki tatu na machenchi.kuulizia pesa nyingine nikaambiwa iko kwa wakala mwenzake.basi pale tukagawana faida nikaondoka.kufupisha stori Yule wakala alikuja akasema pesa ametapeliwa hivyo atanilipa mdogo mdogo.

Wakati huo nimeshauza gari la kutembelea ili ninunue guta.kumbe guta limeuzwa Mara mbili na Mimi ndiye mtu wa pili .kufupisha guta sikupata niliishia kulipwa mdogo mdogo.

Duka la vinywaji Mambo hayakuwa mazuri nilichezea vitasa Sana kwa TRA kutokana na mambo ya risiti .mbaya zaidi madeni yalikuwa mengi kwenye mabar na mapub .kuna meneja alifukuzwa kazi ,Kuna miliki alishindwa kulipa Kodi ya mwaka mzima Kama mwenye nyumba anavyotaka.

Kifupi ndani ya mwezi wa 11 mwaka 2022 maji yalifika shingoni ikabidi niende nyumbani Kilimanjaro kupumzisha akili.huku nikiwa siamini ni nini kilichonitokea.hatimaye Kodi ya duka iliisha duka nikarudisha kwa mwenye nalo.nikauza vitu vyote vya dukani pia asilimia kubwa niliuzia members wa if.

Tokea hapo maisha yakawa ni kuunga unga mjini kwa kutumia uzoefu .Naishi kwa kulipwa madeni na kuongeza madeni mapya .nikajaribu kutafuta kazi mtaani na humu jf Lakini sikufanikiwa mpaka Sasa bado mambo yamekuwa magumu.

Kusudi la kuandika haya yote wakuu kwa Sasa nimekosa rafiki au hata mtu wa karibu wa kuzungumza naye magumu ninayopitia.mke amerudi kwao amechoka kukaa na mtu anayeishi maisha ya kubahatisha .Nimeamini wakati wa magumu hata wapendwa wako wa karibu wanajitenga na wewe

Wakuu najiona kama nafika mwisho na siku zangu zinahesabika kwa sababu nimebaki na mama yangu na mtoto wangu mdogo.wote wananitazama Mimi Lakini kiukweli jaribu limekuwa kubwa kuliko uwezo wangu.madukani madeni yamefika mwisho.

Wakati mwingine huwa napiga saidia fundi ikipatikana maisha yanaenda japo nakuwa slow kutokana sio mzoefu na hizo Kazi.Pia Nina diploma ya mechanical engineering na leseni class d ,e na c1,c2 na c3 Ila leseni kwa Sasa leseni ni ya kurenew

Napatikana kibaha kwa Mathias wakuu .mwenye ajira yoyote ya halali naomba anishike mkono
UPO SHULE (Magumu unayopitia ni ada yako)
 
Hao watu wanaofagia uwanja usiku ndio wenye password yako. Wameibinya.

Fanyia kazi hilo, vinginevyo utapata tabu saana
 
Habari za wakati huu,

Sijui wapi pa kuanzia Ila tangia mwaka 2018 niliamua kuacha kazi na kuanza maisha ya kujiajiri.

Kazi niliacha baada ya kuona biashara zangu zingine ndogo ndogo zinalipa Ila changamoto ilikuwa ni kukosa usimamizi nzuri.

Pia sababu nyingine ilikuwa kutoelewana na supervisor wangu kutokana na roho ya kijicho kuona maendeleo niliyokuwa nayo hayaendani na mshahara ninaopata.ingawaje sikuwahi kuwa na loss yoyote au kujibizana naye Ila alichokuwa anafanya kunipiga Vita ya chinichini.kwanza mmiliki wa kampuni alikuwa ni mwenyeji wa Kanda ya ziwa hivyo kufanya asilimia kubwa ya wafanyakazi kuwa watu wa Kanda ya ziwa.

Pili kwenye vitengo vyote waliweka watu wa Kanda ya ziwa. Mimi peke yangu ndio nilikuwa mtu wa kaskazini.hii ilipelekea supervisor wangu kutengeneza na kueneza sumu ya chuki kwa urahisi kuwa watu wa kaskazini ni wezi .turudi kwenye mada

Baada ya kuacha kazi mambo yalinyooka kuliko mwanzoni.niliwaza muda wote nilikuwa wapi kwanini sikuingia mapema kwenye biashara.Ndani ya miaka mitatu nilifanikiwa kupata sehemu ya kujihifadhi na kausafiri kutokana na wakati mwingine Mishe zangu zilikuwa za udalali.

Mwishoni wa mwaka 2022 mambo yalianza kwenda mrama baada ya kuhamia kwenye kibanda changu.Mama yangu mzazi alikuwa akiumwa kifundo Cha mguu na pilingili mbili za mgongo zilikatika pia na sukari ilikuwa ikimsumbua.Hivyo ilibidi aje dar as salaam kwa ajili ya tiba

Tulipambana naye kwa wakorea pale mbezi kwa msuguri ikashindikana tukahamia mhimbili huko nako hakukuwa na nafuu ya kudumu.wakati huo nilikuwa na mtoto mdogo ambaye alikuwa Hali chakula Wala usiku halali.Lakini changamoto haikushia hapo kwenye maisha ya nyumbani.usiku kulikuwa hakuna kulala Mara watu wanagonga mlango wengine wanafagia nje .ukichungulia nje huoni mtu yoyote .hili nilimaliza kwa njia maombi

Changamoto hizi hazikuishia nyumbani tu Bali hata sehemu zangu za kutafuta ridhki.nilikuwa na ofisi mbili moja ya uwakala nyingine ya duka la vinywaji vya jumla na rejareja.Pesa nyingine nilikuwa nazungushia kwenye udalali.

Siku isiyokuwa na jina naenda kufunga hesabu kwenye ofisi ya uwakala mambo hayakuwa mazuri.Wakala hakuwa na cash yoyote wa float.pesa iliyokuwepo ilikuwa ni kamisheni jumla yake Kama laki tatu na machenchi.kuulizia pesa nyingine nikaambiwa iko kwa wakala mwenzake.basi pale tukagawana faida nikaondoka.kufupisha stori Yule wakala alikuja akasema pesa ametapeliwa hivyo atanilipa mdogo mdogo.

Wakati huo nimeshauza gari la kutembelea ili ninunue guta.kumbe guta limeuzwa Mara mbili na Mimi ndiye mtu wa pili .kufupisha guta sikupata niliishia kulipwa mdogo mdogo.

Duka la vinywaji Mambo hayakuwa mazuri nilichezea vitasa Sana kwa TRA kutokana na mambo ya risiti .mbaya zaidi madeni yalikuwa mengi kwenye mabar na mapub .kuna meneja alifukuzwa kazi ,Kuna miliki alishindwa kulipa Kodi ya mwaka mzima Kama mwenye nyumba anavyotaka.

Kifupi ndani ya mwezi wa 11 mwaka 2022 maji yalifika shingoni ikabidi niende nyumbani Kilimanjaro kupumzisha akili.huku nikiwa siamini ni nini kilichonitokea.hatimaye Kodi ya duka iliisha duka nikarudisha kwa mwenye nalo.nikauza vitu vyote vya dukani pia asilimia kubwa niliuzia members wa if.

Tokea hapo maisha yakawa ni kuunga unga mjini kwa kutumia uzoefu .Naishi kwa kulipwa madeni na kuongeza madeni mapya .nikajaribu kutafuta kazi mtaani na humu jf Lakini sikufanikiwa mpaka Sasa bado mambo yamekuwa magumu.

Kusudi la kuandika haya yote wakuu kwa Sasa nimekosa rafiki au hata mtu wa karibu wa kuzungumza naye magumu ninayopitia.mke amerudi kwao amechoka kukaa na mtu anayeishi maisha ya kubahatisha .Nimeamini wakati wa magumu hata wapendwa wako wa karibu wanajitenga na wewe

Wakuu najiona kama nafika mwisho na siku zangu zinahesabika kwa sababu nimebaki na mama yangu na mtoto wangu mdogo.wote wananitazama Mimi Lakini kiukweli jaribu limekuwa kubwa kuliko uwezo wangu.madukani madeni yamefika mwisho.

Wakati mwingine huwa napiga saidia fundi ikipatikana maisha yanaenda japo nakuwa slow kutokana sio mzoefu na hizo Kazi.Pia Nina diploma ya mechanical engineering na leseni class d ,e na c1,c2 na c3 Ila leseni kwa Sasa leseni ni ya kurenew

Napatikana kibaha kwa Mathias wakuu .mwenye ajira yoyote ya halali naomba anishike mkono
Mimi nadhani kuna sehemu ulikosea, Mungu anataka ujifunze kwanza ili ukirudi juu usirudie makosa zingatia kama kuna binadam wenzio uliwakosea...
 
Pole sana.

Kaskazini ipi? Kama ni mchaga omba support kwa wenzio huwa hawaachi wapambanaji wenzao, Omba support haya ya malikauli. Au waombe kazi.

Usisahau kusafishwa kiroho, umechafuka.
 
Pole sana.

Kaskazini ipi? Kama ni mchaga omba support kwa wenzio huwa hawaachi wapambanaji wenzao, Omba support haya ya malikauli. Au waombe kazi.

Usisahau kusafishwa kiroho, umechafuka.
Mtu anasafishwaje kiroho?
 
Habari za wakati huu,

Sijui wapi pa kuanzia Ila tangia mwaka 2018 niliamua kuacha kazi na kuanza maisha ya kujiajiri.

Kazi niliacha baada ya kuona biashara zangu zingine ndogo ndogo zinalipa Ila changamoto ilikuwa ni kukosa usimamizi nzuri.

Pia sababu nyingine ilikuwa kutoelewana na supervisor wangu kutokana na roho ya kijicho kuona maendeleo niliyokuwa nayo hayaendani na mshahara ninaopata.ingawaje sikuwahi kuwa na loss yoyote au kujibizana naye Ila alichokuwa anafanya kunipiga Vita ya chinichini.kwanza mmiliki wa kampuni alikuwa ni mwenyeji wa Kanda ya ziwa hivyo kufanya asilimia kubwa ya wafanyakazi kuwa watu wa Kanda ya ziwa.

Pili kwenye vitengo vyote waliweka watu wa Kanda ya ziwa. Mimi peke yangu ndio nilikuwa mtu wa kaskazini.hii ilipelekea supervisor wangu kutengeneza na kueneza sumu ya chuki kwa urahisi kuwa watu wa kaskazini ni wezi .turudi kwenye mada

Baada ya kuacha kazi mambo yalinyooka kuliko mwanzoni.niliwaza muda wote nilikuwa wapi kwanini sikuingia mapema kwenye biashara.Ndani ya miaka mitatu nilifanikiwa kupata sehemu ya kujihifadhi na kausafiri kutokana na wakati mwingine Mishe zangu zilikuwa za udalali.

Mwishoni wa mwaka 2022 mambo yalianza kwenda mrama baada ya kuhamia kwenye kibanda changu.Mama yangu mzazi alikuwa akiumwa kifundo Cha mguu na pilingili mbili za mgongo zilikatika pia na sukari ilikuwa ikimsumbua.Hivyo ilibidi aje dar as salaam kwa ajili ya tiba

Tulipambana naye kwa wakorea pale mbezi kwa msuguri ikashindikana tukahamia mhimbili huko nako hakukuwa na nafuu ya kudumu.wakati huo nilikuwa na mtoto mdogo ambaye alikuwa Hali chakula Wala usiku halali.Lakini changamoto haikushia hapo kwenye maisha ya nyumbani.usiku kulikuwa hakuna kulala Mara watu wanagonga mlango wengine wanafagia nje .ukichungulia nje huoni mtu yoyote .hili nilimaliza kwa njia maombi

Changamoto hizi hazikuishia nyumbani tu Bali hata sehemu zangu za kutafuta ridhki.nilikuwa na ofisi mbili moja ya uwakala nyingine ya duka la vinywaji vya jumla na rejareja.Pesa nyingine nilikuwa nazungushia kwenye udalali.

Siku isiyokuwa na jina naenda kufunga hesabu kwenye ofisi ya uwakala mambo hayakuwa mazuri.Wakala hakuwa na cash yoyote wa float.pesa iliyokuwepo ilikuwa ni kamisheni jumla yake Kama laki tatu na machenchi.kuulizia pesa nyingine nikaambiwa iko kwa wakala mwenzake.basi pale tukagawana faida nikaondoka.kufupisha stori Yule wakala alikuja akasema pesa ametapeliwa hivyo atanilipa mdogo mdogo.

Wakati huo nimeshauza gari la kutembelea ili ninunue guta.kumbe guta limeuzwa Mara mbili na Mimi ndiye mtu wa pili .kufupisha guta sikupata niliishia kulipwa mdogo mdogo.

Duka la vinywaji Mambo hayakuwa mazuri nilichezea vitasa Sana kwa TRA kutokana na mambo ya risiti .mbaya zaidi madeni yalikuwa mengi kwenye mabar na mapub .kuna meneja alifukuzwa kazi ,Kuna miliki alishindwa kulipa Kodi ya mwaka mzima Kama mwenye nyumba anavyotaka.

Kifupi ndani ya mwezi wa 11 mwaka 2022 maji yalifika shingoni ikabidi niende nyumbani Kilimanjaro kupumzisha akili.huku nikiwa siamini ni nini kilichonitokea.hatimaye Kodi ya duka iliisha duka nikarudisha kwa mwenye nalo.nikauza vitu vyote vya dukani pia asilimia kubwa niliuzia members wa if.

Tokea hapo maisha yakawa ni kuunga unga mjini kwa kutumia uzoefu .Naishi kwa kulipwa madeni na kuongeza madeni mapya .nikajaribu kutafuta kazi mtaani na humu jf Lakini sikufanikiwa mpaka Sasa bado mambo yamekuwa magumu.

Kusudi la kuandika haya yote wakuu kwa Sasa nimekosa rafiki au hata mtu wa karibu wa kuzungumza naye magumu ninayopitia.mke amerudi kwao amechoka kukaa na mtu anayeishi maisha ya kubahatisha .Nimeamini wakati wa magumu hata wapendwa wako wa karibu wanajitenga na wewe

Wakuu najiona kama nafika mwisho na siku zangu zinahesabika kwa sababu nimebaki na mama yangu na mtoto wangu mdogo.wote wananitazama Mimi Lakini kiukweli jaribu limekuwa kubwa kuliko uwezo wangu.madukani madeni yamefika mwisho.

Wakati mwingine huwa napiga saidia fundi ikipatikana maisha yanaenda japo nakuwa slow kutokana sio mzoefu na hizo Kazi.Pia Nina diploma ya mechanical engineering na leseni class d ,e na c1,c2 na c3 Ila leseni kwa Sasa leseni ni ya kurenew

Napatikana kibaha kwa Mathias wakuu .mwenye ajira yoyote ya halali naomba anishike mkono
Kuna jamaa humu nilimuelewa kuhusu the dark side of business
 
Mkuu pole sana kwa yaliyokukuta, ndio ilivyo dunia na walimwengu. Jikubali na endelea kuwa imara usiruhusu hali ya huzuni na kukata tamaa. Anayekujua na kukupenda ni Wewe mwenyewe.

Hata sisi unaoutushirikisha maumivu yako na sisi tuna maumivu makali kuliko wewe na tumeamua kuwa sugu kwa sababu tumejikubali na kuamini kila situation ni ya Jupita tu.

Haiwezi ikawa giza muda wote ipo siku nuru itachomoza tu. Au sio Ms Aaliyyah?
 
Lakini mnapofanikiwa huwa mnatusahau kabisa sisi, mkipata shida mnataka tu shee matatizo. Anyway sisis huwa tupo tu, na utafanikiwa tu usijali, ila this time usitusahau tena.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom