1. Niliipenda THE WHITCH [emoji28] [emoji28] muvie moja simple tu ya familia moja ila dah....mpaka inaisha nimefarakana, mapacha wadogo wanamashaka na dada yao, lakini mama na familia hawawaelewi(labda sababu ni watoto)mpaka yanaikuta makubwa familia.
2. Mamaa..victoriaa, huyu ni lily akibabaika aende wapi[emoji86] abaki na dada au aende kwa mama.
3. Conjuring 1, hapa noma, namkumbuka mama, alivyopewa mateso mpaka nikamuonea huruma.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] hizi muvie za kutisha, nilidhani africa tunaweza kumbe baado sana, jamaa wako mbali mno.