Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

The Exorcist (Sijawahi kuangalia lakini[emoji16])
Hii ni ile binti anayekuwa possessed na devil kisha Rabbi wa kiyahudi anamtoa huyo devil kwa kutumia kisanduku fulani hivi...

Au yule mwanamke aliyekuwa possessed na devil baada ya kukaa na wenzake kwenye nyumba fulani hivi kwa vacation..
 
Hahah eeh kuna channel youtube The top 5s ndio ina hizo mambo sana, nataka kujua what happens after we die ndio maana napenda hizo movies na documentaries
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bila shaka utakuwa ni mfuatiliaji mzuri wa Paranormal Activity

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ambaye anayeikumbuka Jeeper Screepers? Every 23rd Summer jamaa anafufuka. Muue ila ikafika hiyo tarehe jamaa yupo kazini.
 
Hahah eeh kuna channel youtube The top 5s ndio ina hizo mambo sana, nataka kujua what happens after we die ndio maana napenda hizo movies na documentaries.

Sent using Jamii Forums mobile app
Paranormal activity ambayo ninayoingalia kwa sasa ni YouTube channel ya Mind Seed.

Kuna kipindi waliitwa kwenye nyumba moja baada ya mmiliki ambaye aliachiwa hiyo nyumba na babu yake aliyefariki. Hiyo nyumba ilikuwa na mauza mengi waliitwa bhana!! walikimbia majamaa!! Ulisikika mlio Mkubwa kama nyumba inaangushiwa mawe makubwa makubwa kutoka juu.
 
Hatari sana, naamini ghosts na spirits ambazo bado zinaroam duniani ni wale waliokua watu wabaya, yani evil spirits ndio maana zinabaki zinaroam around na kusumbua watu for no reasons
Paranormal activity ambayo ninayoingalia kwa sasa ni YouTube channel ya Mind Seed.

Kuna kipindi waliitwa kwenye nyumba moja baada ya mmiliki ambaye aliachiwa hiyo nyumba na babu yake aliyefariki. Hiyo nyumba ilikuwa na mauza mengi waliitwa bhana!! walikimbia majamaa!! Ulisikika mlio Mkubwa kama nyumba inaangushiwa mawe makubwa makubwa kutoka juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ambaye anayeikumbuka Jeeper Screepers? Every 23rd Summer jamaa anafufuka. Muue ila ikafika hiyo tarehe jamaa yupo kazini.
Hii kwangu niliiona ya kawaida yaani haikunitisha. [emoji848]Au kwasababu niliangalia mchana?
 
Hii kwangu niliiona ya kawaida yaani haikunitisha. [emoji848]Au kwasababu niliangalia mchana?
Inawezekana.

Kuna movie moja niliingalia muda kiasi. Inahusu kituo kimoja cha polisi. Ukiwa night shift imekula kwako kwani kwenye hicho kituo kuna wafungwa walijiua kwa kufanya kafara za ki' devil.

Askari mmoja wa kike ndiyo mara ya kwanza kuingia kwenye hiyo shift kwenye hicho kituo. Alipambana na mauza uza na madevil mwishoni alishindwa naye akauliwa kwa kafara kama wale watuhumiwa waliyojiua kwa kafara. Akaunganishwa kwenye devil's line.
 
Inawezekana..

Kuna movie moja niliingalia muda kiasi. Inahusu kituo kimoja cha polisi. Ukiwa night shift imekula kwako kwani kwenye hicho kituo kuna wafungwa walijiua kwa kufanya kafara za ki' devil.

Askari mmoja wa kike ndiyo mara ya kwanza kuingia kwenye hiyo shift kwenye hicho kituo. Alipambana na mauza uza na madevil mwishoni alishindwa naye akauliwa kwa kafara kama wale watuhumiwa waliyojiua kwa kafara. Akaunganishwa kwenye devil's line..
What about Paranormal Activity, inatisha sana?[emoji16]Naogopa kuangalia mwenyewe, ila natamani kujua kilichopo.
 
Back
Top Bottom