Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Tatizo amujui tofsutisha kuna aina mbalimbali za horror, conjiring uwezi fananisha na Saw.
Mkuu nimekuelewa sana hapa, SAW ni category gani maana zile ndo huwa zinanitisha achana na hizi sijui the nun, conjuring,drag me to hell,zote huwa hazinitishi hata niangalie usiku gani.
 
Hivi hii ndo ile dem flan alimuadapt dogo baada ya wazazi aliokuwa anaishi nao kutaka kumuua kwa kumweka kwenye jiko la oven kumbe dogo shetani na ndiyo maana walitaka kumuua?
mkuu hii ni Case 39
 
Kuna moja inaitwa The Messangers nayo ni shida
 
Mkuu unatumia app gani kupakuwa hizo movie
Hiyo
Screenshot_20181106-132556.jpeg
 
Yaani.
Afu ukivishika vinatumbuka tumbuuu.

Mkuu nina harddrive ina movie za kutisha takriban 300+
Kama uko Dar siku nitakupa ucheki.

Hizi zote zinazotajwa hapa zote ninazo.
Nimekuwa addicted na horror, haunting, zombie, cannibals, ghosts movies
Kuanzia za kizungu, kiasia, kihindi, wachina n.k

Sasa mapenzi yangu siku hizi yamehamia kwenye chaneli ya Investigation Discovery.
Yale mauaji na mapelelezi huwa nayapenda sana.
Dracula vp unaionaje!

Ova
 
Mimi ninayo,nimei`download ina wiki ila bado sijaitazama,nasubiri kwanza maoni ya wananchi,wakiisifia leo naicheki..
Niliipakua Jana nikaicheki.
Ni kali kinoma.
Angalia comment juu utaona ikisifiwa[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom