Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Swali linakuja je atamuacha yule Dada aendelee kuingoza Asgard au vipi maana inaisha anaamua kuungana na guardian of the galaxy inaonekana kama ameiyacha kabisa

Kwenye marvel cinematic Universe guardian of the galaxy bado wana kimbembe kizito kwa sababu kama unakumbuka vol 2 inaisha Yule queen wa ile planet ambao wametengeneza uadui ametengeneza dangerous weapon something like humanoid kweny end credit scene tunaona hio silaha yake alioiumba anaiita Adam hapo sasa sjui kama Thor atakuwepo kweny hio guardian mpya maana next villan wa guardian of galaxy ni balaaa
Mkuu endgame inaishia Thor kamuoa/kamfanya Queen of Asgard vile kuungana nikukualert kwamba muvi itakayo fuata basi watakua pamoja ila sio kwamba kaiacha Asgard. Japo jamaa ni mtu wa visanaga ila kipindi hiki inabidi aplay role of King maana yeye ndio kabakia (Mind you Loki hajafa)..Good news nikua Grandmaster anaweza kuwemo kwenye Thor na GoG vol3 nampenda sana huyu jamaa...

Kweli Akina Quill wanakisanga kizito...Ila watakua na God of thunder hakuna kitakacho haribika.
 
Watch if you dare....
Sikutaka hata kuimaliza maana inasisimua..inastor tofauti tofauti, inahusu watu wenye matatizo ya akili..
Tkuio 1.
Jamaa alimuona mtu kachora tatoo akaipenda, akamvizia akamuua akampeleka kwake. Tatoo ilikua kifuani hvo akakata ile nyama yenye tatoo afu nae akajichana kifuani...akachukua ile ngozi ya tatoo akaishona bila ganzi kifuani. Mweeeh si pakaanza kuoza baada ya siku akawa anafikicha mausaa na kidole. Hapo hapo niliistopisha na kuifuta kabisa.

Napenda burudani nikiwa nacheki muvie sio kuogopa
Mkuu halafu ule mpango uliishia wapi naona una madude matamu sana. Bado upo maeneo ya huku?
 
Hii jf sometimes kutumia shida..anyway mi nataka kujua jinsi ya kudownload movie google unafanyaje
Ingia hadi kweny ukurasa wa google pale kwa ku Search andika index of movie na muvi unayoitaka search zitakuja link nyingi utachagua yeyote uta download

Mfano natafuta residents evil afterlife nitaandika

Index of movie :residents evil afterlife
 
Hiyo series nilichekigi epsode sijui mbili tu au tatu nikaona upuuzi tu.
Dominion hi series sijawahi kuielewa lengo lake..
Eti malaika Mungu alipotea malaika Mikael akaja kuwalinda binaadamu afu Malaika Gabriel ndio adui...kabisa Malaika Gabriel cheo chake na heshima alio nayo anaweza kuchezwa kama adui???
 
Mkuu halafu ule mpango uliishia wapi naona una madude matamu sana. Bado upo maeneo ya huku?
Mkuu ule mpango hautawezekana maana nishatoka huko kitambo sana toka july 28...Niliibiwa simu siku ile asee wahuni walizama wakanyunyuzia sumu nikalala oama nimekufa. Nguo na simu walibeba kama zakwao. Siipendi Dar kwa hiki.
 
Poa. Pole sana.
Mkuu ule mpango hautawezekana maana nishatoka huko kitambo sana toka july 28...Niliibiwa simu siku ile asee wahuni walizama wakanyunyuzia sumu nikalala oama nimekufa. Nguo na simu walibeba kama zakwao. Siipendi Dar kwa hiki.
 
Hiyo series nilichekigi epsode sijui mbili tu au tatu nikaona upuuzi tu.
Hii niliocheki 2016 nikaona haina isue..nikafutilia mbalio..
2019/18 ninazo muvi 200
Za kuanzia 2017 hadi miaka hiyo zipo kama 100+
Nikikupa pc yangu utashindwa uchukue muvi ipi uache ipi
 
Haha [emoji23] hatari kwelikweli
Halafu sasa kweny endgame walivyo go back in time walifanya interference
moja mbaya Sana Kama uli note Loki alikuwa kashikwa wakafanya upuuzi akaa escape kijanja bila wao kujua

Na kweny hizi theory za time machines na hata hizi movie zinazohusu time traveling uki go back in time ukafanya uzembe wowote katika matukio yako lazima utaleta outcome tofauti in future mostly dangerous

Ngoja tuone watakuwa wameharibu wapi
Mkuu endgame inaishia Thor kamuoa/kamfanya Queen of Asgard vile kuungana nikukualert kwamba muvi itakayo fuata basi watakua pamoja ila sio kwamba kaiacha Asgard. Japo jamaa ni mtu wa visanaga ila kipindi hiki inabidi aplay role of King maana yeye ndio kabakia (Mind you Loki hajafa)..Good news nikua Grandmaster anaweza kuwemo kwenye Thor na GoG vol3 nampenda sana huyu jamaa...

Kweli Akina Quill wanakisanga kizito...Ila watakua na God of thunder hakuna kitakacho haribika.
 
Hii niliocheki 2016 nikaona haina isue..nikafutilia mbalio..
2019/18 ninazo muvi 200
Za kuanzia 2017 hadi miaka hiyo zipo kama 100+
Nikikupa pc yangu utashindwa uchukue muvi ipi uache ipi
Nina hakika hapo nyingi nimezicheki maana nilikuwa na movie 700+

Sema movie nyingi za kuanzia mwaka jana mwishoni na mwaka huu ndio sina.

Pia series nyingi sana sina. Napenda za kizungu za kikorea mimi kwa kweli zimenipitia kushoto.
 
Haha [emoji23] hatari kwelikweli
Halafu sasa kweny endgame walivyo go back in time walifanya interference
moja mbaya Sana Kama uli note Loki alikuwa kashikwa wakafanya upuuzi akaa escape kijanja bila wao kujua


Na kweny hizi theory za time machines na hata hizi movie zinazohusu time traveling uki go back in time ukafanya uzembe wowote katika matukio yako lazima utaleta outcome tofauti in future mostly dangerous

Ngoja tuone watakuwa wameharibu wapi
Kuendelea kuwepo kwa Loki kutakuwepo kwa Theory 2
  • Hio ya kutoroka pale kwenye tukio..jamaa inawezekana karudi zake past akaendela kusavaivu au vyovyote vile..
  • Lakini CEO wa MCU alisema loki hajafa sababu macho hayakubadirika kua Blue wakati anauawa si unajua loki ndio God of Mischief aka mazingaombwe.. so ili afe for lazima macho yake yawe blue. Ila wakati Thanos anamuua hakubadirika
 
Nina hakika hapo nyingi nimezicheki maana nilikuwa na movie 700+

Sema movie nyingi za kuanzia mwaka jana mwishoni na mwaka huu ndio sina.

Pia series nyingi sana sina. Napenda za kizungu za kikorea mimi kwa kweli zimenipitia kushoto.
Maybe maana hzo ni zilizoko kwenye pc bado kwenye external afu na animation.
Hata mm wakorea hapana
 
Maybe maana hzo ni zilizoko kwenye pc bado kwenye external afu na animation.
Hata mm wakorea hapana
Wakorea series zao naona hawatumii akili kubwa.

Unakuta kitu kama strike back au blind spot yaani unaenjoy.
 
Ni kwel kabisa na bado inaeendelea 2019 hapa ilipofikia God anaonekana Kama mkosefu
Ila Wazungu bhana! Sijui walifikiria nini mpaka wakatunga hiyo season. Kuna kipindi Dean alimega mpaka Malaika.
 
Kuna muvi litatisha sana linaitwa The fifth President,linaelezea raisi fulani Katili sana ni rais wa nchi fulani ya kibantu,huyo raisi anawaua kikatili wakosoaji wake
 
Haha dah we acha tu ila hio ya malaika kuingiliana na binadamu hii kitu nimeiskia Sana
Na mpaka hao fallen angel na kuzaa kabisa na binadamu watoto ambao wanaitwa nephlim
Ila Wazungu bhana! Sijui walifikiria nini mpaka wakatunga hiyo season. Kuna kipindi Dean alimega mpaka Malaika.
 
Hii jf sometimes kutumia shida..anyway mi nataka kujua jinsi ya kudownload movie google unafanyaje
Kwa google ninavyojua ni kuingia google play movies ambayo hii ni ya kwenye simu.

Ila kuna option nyengine ya ku' download movie.. Tumia Utorrent. Ambayo unai' download kama software kupitia search engine( Google). Then una' download movie bure.
 
Hivi "witches of the eastern end" imefika season ya ngapi?
 
Back
Top Bottom