Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
Hii ilikuwa ya moto sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje getto mana anashobo sanaNinazo za kutosha njoo inbox nikugawie
Ya jean niliwai kula demu kwa sababu ya huo wimbo nilikuwa na pc na karedio kangu ka sundar huko site.Ya jean
Manuele samuele
Nzele
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nyimbo gani?Weka hapa mkuu tufurahi wote.
Mimi Ninautafuta sana wimbo wake mmoja unaitwa Mbadi Coco ,,nimeutafuta sana bila mafanikio, vipi wewe unao mkuu?Mi niko na collection ya nyimbo zake zote kama kuna mtu anahitaji nyimbo yake utanishtua
Ziweke hapa mi ninazo mbili tuMi niko na collection ya nyimbo zake zote kama kuna mtu anahitaji nyimbo yake utanishtua
Ninazo nyingi sana nahisi zote itakuwa ngumu kuweka hapa zote ila kama kuna nyimbo unahitaji nitaiweka
Upo youtubeMimi Ninautafuta sana wimbo wake mmoja unaitwa Mbadi Coco ,,nimeutafuta sana bila mafanikio, vipi wewe unao mkuu?
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Frere Edward
Mimi Ninautafuta sana wimbo wake mmoja unaitwa Mbadi Coco ,,nimeutafuta sana bila mafanikio, vipi wewe unao mkuu?
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mbadi Coco au Mbadi Mawe?Mimi Ninautafuta sana wimbo wake mmoja unaitwa Mbadi Coco ,,nimeutafuta sana bila mafanikio, vipi wewe unao mkuu?
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mbadi Coco au Mbadi Mawe?
Mbadi Coco au Mbadi Mawe?