Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
7M suzuk carry. Mazungumzo yapo
Sim 0625547961

c24cab57dcca18c4e045cbf85decab35.jpg
 
Hahaha mtaji wako ni nguvu zako mwenyewe, huna hata picha ya gari moja unayouza, hata tyre tu umekosa?

Kuna wenzako tayari wako humu wengi tu utawaona
Ntazi upload muda si mrefu ndugu yangu
 
Uki upload gari (picha) tuwekee na sifa zake pia.
Picha tupu na bei si sawa.
 
Wakuu habari zenu, leo nimeamua kuja na mjumuiko wa magari ambayo naamini yatawafaa wengi.Nayaorodhesha hapa kama ifuatavyo.
NB:Gari nyingi nzuri zipo post za chini, kama hutaweza kupitia zote nakushauri upitie japo post 5 kuanzia chini kuja juu.
1:Toyota mark x ya mwaka 2004,imetembea km 203000,engine 2990cc bei ni 8.3MView attachment 621422View attachment 621423View attachment 621424View attachment 621425
2: Noah Townace ya mwaka 2001,imetembea km 128000 bei ni 12.5MView attachment 621428View attachment 621430View attachment 621432
3:Toyota Noah sr40,bei 8.5MView attachment 621433View attachment 621434View attachment 621436
4😛ick up double cabin engine 3l, bei 17MView attachment 621440View attachment 621442
5:Kluger new model, 4cylinder bei 20MView attachment 621446View attachment 621447View attachment 621448View attachment 621449View attachment 621451
6😛rado Tx imetembea km 57000 ,engine 3rz, bei 26MView attachment 621454View attachment 621455View attachment 621457
Tuwasiliane kupitia 0689699704,karibuni sana.
Na hihi bado ipo maan kuna jamaa yangu ana itaji na kama ipo una weza uka nipa full fill back za picha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom