Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Wakuu nimefurahi sana kukutana nanyi tena, hakika kwa siku hizi chache nilikua na simanzi sana kukosa kua nanyi humu jukwaani .

Shukrani za kipekee kwa wanaJf wenzangu walionipigia na kunitumia ujumbe kuniarifu kua sasa Jf yetu ipo hewani.Imenipa moyo sana kuona kumbe ninachofanya ni cha thamani sana, hakika sisi ni familia nawaombeni tusitengane.

Team nzima ya Jf nyinyi ni watu muhimu sana kwa jamii yetu, ni mengi mazuri tunayapata kutoka kwenu, hakika mnayo jazaa kubwa kutoka kwa mungu.

Changamoto ni nyenzo ya kujiimarisha na kuongeza ufanisi zaidi, hata siku moja tusizifanye changamoto kua visingizio vya kuharibika mambo, kwani tukifanya hivyo hakuna chengine tutakachopata kwenye maisha haya zaidi ya kutofanikiwa kwenye kila jambo tunalofanya.

Nawapenda sana ndugu zangu zawadi ya penzi langu kwenu nikuwaleteeni kazi zenye ubora wa hali ya juu.

Msiache kunisahihisha na kunishauri,ile penye makosa tusahihishe na penye mapungufu turekebishe

Kaeni mkao wa kula, kazi nzuri zinakujieni. Siku njema wakuu!!
Ahsante sana boss kwa kurejea pia......
 
Honda fit iko sokoni.
Km 52,000
Engine 1300CC
Mwaka 2004
Ream sport
Mziki mnene (option)
Bado imara (njoo na fundi utest)
Bei 8mill (haishuki)
IMG_20180706_064739.jpg
IMG_20180706_064724.jpg
IMG_20180706_064607.jpg
IMG_20180706_064546.jpg
IMG_20180706_064526.jpg
 
Wakuu nimefurahi sana kukutana nanyi tena, hakika kwa siku hizi chache nilikua na simanzi sana kukosa kua nanyi humu jukwaani .

Shukrani za kipekee kwa wanaJf wenzangu walionipigia na kunitumia ujumbe kuniarifu kua sasa Jf yetu ipo hewani.Imenipa moyo sana kuona kumbe ninachofanya ni cha thamani sana, hakika sisi ni familia nawaombeni tusitengane.

Team nzima ya Jf nyinyi ni watu muhimu sana kwa jamii yetu, ni mengi mazuri tunayapata kutoka kwenu, hakika mnayo jazaa kubwa kutoka kwa mungu.

Changamoto ni nyenzo ya kujiimarisha na kuongeza ufanisi zaidi, hata siku moja tusizifanye changamoto kua visingizio vya kuharibika mambo, kwani tukifanya hivyo hakuna chengine tutakachopata kwenye maisha haya zaidi ya kutofanikiwa kwenye kila jambo tunalofanya.

Nawapenda sana ndugu zangu zawadi ya penzi langu kwenu nikuwaleteeni kazi zenye ubora wa hali ya juu.

Msiache kunisahihisha na kunishauri,ile penye makosa tusahihishe na penye mapungufu turekebishe

Kaeni mkao wa kula, kazi nzuri zinakujieni. Siku njema wakuu!!
Mkuu fungua na Facebook page ili majanga yakitokea JF tujue wapi pa kukupata
 
Toyota mark11
Mwaka:2002
125000km
Beams2000
Tairi mpya
Bei:6300000/=(Milioni sita na laki tatu)
Mawasiliano :0689699704
IMG-20180705-WA0019.jpg
IMG-20180706-WA0120.jpg
IMG-20180706-WA0123.jpg
IMG-20180706-WA0122.jpg
 
Toyota Pick up Double cabin
3l engine
Bei:12000000/=(Milioni kumi na mbili)
Mawasiliano :0689699704
IMG-20180706-WA0066.jpg
IMG-20180706-WA0062.jpg
IMG-20180706-WA0052.jpg
 
Toyota Mark X
2496CC
Mwaka:2005
Push to start
Full option
Black leather
sport rims.. Low profile
Bei:12000000/=(Milioni kumi na mbili)
Mawasiliano :0689699704
IMG-20180706-WA0193.jpg
IMG-20180706-WA0189.jpg
IMG-20180706-WA0190.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom