Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh kwamba kile cha Samuel nacho ni Kithethe, sema jamaa kweli scripts zake nyingi zimekaa kihuni ila wote wako vizuri kulingana na roles wanazocheza, kuwalinganisha ni sawa na kumlinganisha winger na defender kwenye mpira kiujumlaDenzel unamlinganishaje na Mtu mwenye kithethe...
Napenda tusi la samuel jackson "Madhaf...[emoji1787][emoji1787]"
kadandia mtumbwi wa vibwengo😁Wamesema wapenzi wa muvi. Sasa usipende kuzamia sehemu usiyoalikwa utakutana na kitu kizito
Sawa sawa ..umeongea sahihiDuuh kwamba kile cha Samuel nacho ni Kithethe, sema jamaa kweli scripts zake nyingi zimekaa kihuni ila wote wako vizuri kulingana na roles wanazocheza, kuwalinganisha ni sawa na kumlinganisha winger na defender kwenye mpira kiujumla
Mtego huo.....Kwangu mimi Denzel ..na hivi wanasemaga tunafanana
Hahahahaha mkuu mtego ktk nn ? Ila umesema kweliMtego huo.....
Movie za Washington ni km mziki wa Koffi Olomide unaanza taratibu and Kwa busara mpk unakukolea,kwangu mm Washington ni zaidi ya Samuel ingawa nitaangalia movie zao wote.Denzel Mnyama..................kwa wale wahuni 90's nadhani tumeshaelewana.
Hahahahaha mfano mzuri sana Denzel na KoffiMovie za Washington ni km mziki wa Koffi Olomide unaanza taratibu and Kwa busara mpk unakukolea,kwangu mm Washington ni zaidi ya Samuel ingawa nitaangalia movie zao wote.
Msikilize akitamka S mkuu na shDuuh kwamba kile cha Samuel nacho ni Kithethe, sema jamaa kweli scripts zake nyingi zimekaa kihuni ila wote wako vizuri kulingana na roles wanazocheza, kuwalinganisha ni sawa na kumlinganisha winger na defender kwenye mpira kiujumla
Hii ni 100% Kweli 🤣Kwangu Mimi wote wawili ni zaidi.
When I want to be good basi Denzel ndio model yangu lakini if I want to terrorize peace I take Samuel any time.
Wote wanaziwakirisha vizuri characters zao.