Wapenzi wa ndizi: Namna nyingine ya kupika ndizi tamu za kukaanga na nyama ya kuku/ng'ombe

Ataniganda, sitaki kugandwa🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Ndingo on fleek πŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈ!
 
Mwehu we 🀣🀣🀣
 
Mama chanja knows it better just like you do!
Sema tasty foods zinaniletea uzito mkubwa sana kadiri umri wangu unavyosogea
Uwe unatumia chai ya tangawiz,mdalisin,iriki na pilipili manga asubuhi na usiku,usiku ni nzuri baada ya mlo husaidia sana kuyeyusha mafuta mwilin
Nikitulia nitashare na hiyo
 
Si unalea wewe 🀣🀣
Udugu nikaoge niende kuswampa tutaonana baadae.
Wee Udugu hebu huko jf sio ya kuichukulia siriaz kiivo!😁

Poapoa uduguuu Weekend njema !
 
Ndizi zinanoga ukipika na nyama ya kitimoto hizo zingine ni mbwembwe tuπŸ˜‹
 
Uwe unatumia chai ya tangawiz,mdalisin,iriki na pilipili manga asubuhi na usiku,usiku ni nzuri baada ya mlo husaidia sana kuyeyusha mafuta mwilin
Nikitulia nitashare na hiyo
Barikiwa nitajaribu kutumia hizo ! I am the " i love to eat" diet man!! ila kwa miaka ya karibuni imekuwa ikinigharimu kuongezeka uzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…