Wapenzi wa ndizi: Namna nyingine ya kupika ndizi tamu za kukaanga na nyama ya kuku/ng'ombe

Mnashauriana ujinga wanawake, mnaharibu wanaume na ma vitambi, wakifika miaka 42 chali, tendo hawawezi wanaanza kula matakata.

Wanawake mnapenda kula mno matakata, hakuna afya, mnakuwa wakubwa kama nyumba, tukichepuka kelele.....
Jamani πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Asante sana. Umenifanya nitamani ndizi kwa picha yako. Huweki maji hata kidogo?
 
Mwisho naweza shushia na kinywaji baridiiiii kabesaaa!
Nimagine huo utamu wake!
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ umeona na wewe?
Yaani liyah mie anielekeze kwake nikajifunze mapishi ninakoelekea nitatia aibu!
Na wakwe wa siku hizi wana gubu km hujui kupika 🀣🀣🀣
 
Mnashauriana ujinga wanawake, mnaharibu wanaume na ma vitambi, wakifika miaka 42 chali, tendo hawawezi wanaanza kula matakata.

Wanawake mnapenda kula mno matakata, hakuna afya, mnakuwa wakubwa kama nyumba, tukichepuka kelele.....
Kuna vyakula Ving vya kuongeza stamina kwenye tendo na vina faida kiafya
Muhimu mhusika ajue kuandaa kuanzia breakfast had dinner na akapka Kwa ustadi mzuri na lengo likafikiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ umeona na wewe?
Yaani liyah mie anielekeze kwake nikajifunze mapishi ninakoelekea nitatia aibu!
Na wakwe wa siku hizi wana gubu km hujui kupika 🀣🀣🀣
Aaliyahh yuko vizure sana kwenye hio sekta uduguuu.. ukienda kwake utafurahi mbonaa!! Afu anapenda sana kupika kuku yaniii kwake ni wewe na tumbo lako tu!!
 
Jaman ya nn? Machakula gani hayo? Haya ndo ma chakula mnatupikia? Hamjui yanapunguza uwezo na afya?
Sawa ila hiyo sio meal plan ya siku nzima ni mlo mmoja na viungo vilivyotumika vinafaida kiafya maybe matumiz ya mafuta lkn sio lazima unywe na soda unaweza ukanywa na chai yenye tangawiz,pilipili manga na mdalasini ukasolve matatizo mengine kma unayo wakat unaenjoy chakula kizuri
 
Iyo ndo kiboko Yani unaweza ukala had ukalamba sahaniπŸ˜€πŸ˜€
Mamaang Kila ukimuuliza kuhus chips anakwambia pika zile za kuchanganya na nyama sijui zina kauleviπŸ˜€πŸ˜€
Recipe niliitoa kwa foodlovers insta....ni balaaa
 


Nimekuelewa Mama yangu.
 
Jamani πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
Hapo nashushia na ka wine huku namsubiri Mangi
Hiyo nitaifanya jpili nione km itatokea km yako.🀣🀣🀣
Hahha huyo mangi vipi
Fanya dear utaweza nakuaminia 😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…