Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Si unalipalilia tu linakuwa vizuri sasa wewe unataka kulikata kabisa, wahedInategemeana na ua lenywe sasa kama linaota bila mpangilio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unalipalilia tu linakuwa vizuri sasa wewe unataka kulikata kabisa, wahedInategemeana na ua lenywe sasa kama linaota bila mpangilio
Hapo kwenye ngono ungefafanua kidogo...ngono zembe au ngono shujaa[emoji848]Pombe kiasi, utamu wa wife na nyama choma ni tiba tosha.
Kitimoto na konyagi, huku natomaswa na mama watoto huku naye akiwa na glass yake ya Amarula, aiseee, usiku unakuwa mfupi sana, tunasshau shida zote na paradise inakuwa ni mali yetu halali.
Kama tuna share the same interest hebu tujumuike aisee.
Si unalipalilia tu linakua vizuri sasa wewe unataka kulikata kabisa, wahed
SI uliimba kabisa kama hamonaiza kwamba utaubeba?Bas njoo unisaidie mkuu
SI uliimba kabisa kama hamonaiza kwamba utaubeba?
Ubebe sasa 😂No siwez tena [emoji23][emoji23]
Acha uboya wewe, tumia akili kufikiri, sio visiginoHapo kwenye ngono ungefafanua kidogo...ngono zembe au ngono shujaa[emoji848]
Ubebe sasa [emoji23]
Basi komaa 😂[emoji23][emoji23][emoji23] siwez tena
Sawa kaka, Pepsi iwe baridi sana kama dude ya maitiMimi napenda kitimoto kiwe kimekaangwa vzr na pilipili ikolee nishushue na peps baridiii
Mamako yupo?Acha uboya wewe, tumia akili kufikiri, sio visigino
Unachukua hatua mkononi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] iyo kila siku kabla ya kulala
Unachukua hatua mkononi
Mamako yupo?
Sawa kaka, Pepsi iwe baridi sana kama dude ya maiti
Burudani na iendeleeNdio mkuu [emoji23]
Kweli una gutsPombe kiasi, utamu wa wife na nyama choma ni tiba tosha.
Kitimoto na konyagi, huku natomaswa na mama watoto huku naye akiwa na glass yake ya Amarula, aiseee, usiku unakuwa mfupi sana, tunasshau shida zote na paradise inakuwa ni mali yetu halali.
Kama tuna share the same interest hebu tujumuike aisee.
Nimetetemeka hadi kitovu