Wapenzi wa nyama, pombe na ngono tukutane hapa

Wapenzi wa nyama, pombe na ngono tukutane hapa

Pombe kiasi, utamu wa wife na nyama choma ni tiba tosha.
Kitimoto na konyagi, huku natomaswa na mama watoto huku naye akiwa na glass yake ya Amarula, aiseee, usiku unakuwa mfupi sana, tunasshau shida zote na paradise inakuwa ni mali yetu halali.

Kama tuna share the same interest hebu tujumuike aisee.
Hapo kwenye ngono ungefafanua kidogo...ngono zembe au ngono shujaa[emoji848]
 
Mamako yupo?
1682457560632.png
 
Pombe kiasi, utamu wa wife na nyama choma ni tiba tosha.
Kitimoto na konyagi, huku natomaswa na mama watoto huku naye akiwa na glass yake ya Amarula, aiseee, usiku unakuwa mfupi sana, tunasshau shida zote na paradise inakuwa ni mali yetu halali.

Kama tuna share the same interest hebu tujumuike aisee.
Kweli una guts
 
Back
Top Bottom