Wapenzi wa perfume za Tom Ford. Ipi ni the best kati ya hizi?

Wapenzi wa perfume za Tom Ford. Ipi ni the best kati ya hizi?

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
1. Black orchid
20241206_095210.jpg


2. Ombre leather
20241206_095733.jpg


3. Oud wood

20241206_095750.jpg



Leta opinions, Ipi ni the best kwa experience yako.
 
Nakunywa madafu yaliyochanganywa na mdalasini, hata mkojo unatoka unanukia spices, kule chini ndo usiseme vanilla si vanilla, chungwa si chungwa mradi tuu vurugumechi 🙂.
Kweli madafu ni dawa safi kabisa ya kibofu cha mkojo sasa hio vanilla kule chini au chungwa unaifanyaje unaipakazia kule chini au inakuaje kuaje mkuu?
 
Kweli madafu ni dawa safi kabisa ya kibofu cha mkojo sasa hio vanilla kule chini au chungwa unaifanyaje unaipakazia kule chini au inakuaje kuaje mkuu?


Mambo ya mkoleni haya aka jando na unyago.

Wanawake wa ki-Tanga hoyeeee....!
Mapenzi himaaa 🤪
Mahaba juuu...😁.

Halafu huwa tunamalizia kwa kusingwa kwa asali ya vuguvugu kule maeneo haswa siku ukiwa umetoka kufyeka msitu. Basi uwanja unabaki mlainiii, mtekeee, mtamuuuu, mnatonato unaanzia hapa juujuu akiingia ndani unasikia mtu .....

Mamaaa nimekomaa, mamaa sirudii tenaaa, wee mwanamke utaniuwa weweee, mbona sishibi...😜.
 
Mambo ya mkoleni haya aka jando na unyago.

Wanawake wa ki-Tanga hoyeeee....!
Mapenzi himaaa 🤪
Mahaba juuu...😁.

Halafu huwa tunamalizia kwa kusingwa kwa asali ya vuguvugu kule maeneo haswa siku ukiwa umetoka kufyeka msitu. Basi uwanja unabaki mlainiii, mtekeee, mtamuuuu, mnatonato unaanzia hapa juujuu akiingia ndani unasikia mtu .....

Mamaaa nimekomaa, mamaa sirudii tenaaa, wee mwanamke utaniuwa weweee, mbona sishibi...😜.
Hahahaha imebidi kwanza nicheke weee kwa hio ndio mambo ya Tanga hayo?
 
Eewaaaah sasa umefuzu kidato, uko tayari kwenda kukitumikia kikokotoo.
Kikubwa tuu uepushe majeruhi maana hakuna first aid 🤪.
Hahaha majeruhi tena hapo ndio inakuwaje kuwaje?
 
Hahaha majeruhi tena hapo ndio inakuwaje kuwaje?

Unakula kwa kiasi kesho nayo ni siku...
Kama enzi zileee za kula mchanga kwa kuuchimbachimba, kula mbakishie baba, kula mbakishie baba, atayeangusha kijiti lwakee ama laah awe na mbio kweli kweli.

Ukila kwa kufakamia rahisi sana kusababisha majeruhi.

Usijali elimu haina mwisho.
 
Unakula kwa kiasi kesho nayo ni siku...
Kama enzi zileee za kula mchanga kwa kuuchimbachimba, kula mbakishie baba, kula mbakishie baba, atayeangusha kijiti lwakee ama laah awe na mbio kweli kweli.

Ukila kwa kufakamia rahisi sana kusababisha majeruhi.

Usijali elimu haina mwisho.
Aweee hapo sasa nimeelewa vizuri kula nibakishie Baba awee
 
Back
Top Bottom