Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hijazimaloza zote..tafuta Tom Ford Tobacco Vanille1. Black orchid
View attachment 3170243
2. Ombre leather
View attachment 3170246
3. Oud wood
View attachment 3170247
Leta opinions, Ipi ni the best kwa experience yako.
Hio ndio million ngapi kwa pesa ya madafu?Mbona hijazimaloza zote..tafuta Tom Ford Tobacco Vanille
Kuanzia shilingi laki tano na kuendelea..iHio ndio million ngapi kwa pesa ya madafu?
Exactly hapo umepakaa ndimu au maganda ya ndimu?Out of topic: Ndimu inata shombo...
Ukiitumia ipasavyo, hunuki kwapa wala jasho.
Sawa mkuuKuanzia shilingi laki tano na kuendelea..i
Tobacco Vanilla IPO poa zaidi. Ila body spray ya Oud is my favourite.1. Black orchid
View attachment 3170243
2. Ombre leather
View attachment 3170246
3. Oud wood
View attachment 3170247
Leta opinions, Ipi ni the best kwa experience yako.
Exactly hapo umepakaa ndimu au maganda ya ndimu?
Kweli madafu ni dawa safi kabisa ya kibofu cha mkojo sasa hio vanilla kule chini au chungwa unaifanyaje unaipakazia kule chini au inakuaje kuaje mkuu?Nakunywa madafu yaliyochanganywa na mdalasini, hata mkojo unatoka unanukia spices, kule chini ndo usiseme vanilla si vanilla, chungwa si chungwa mradi tuu vurugumechi 🙂.
Kweli madafu ni dawa safi kabisa ya kibofu cha mkojo sasa hio vanilla kule chini au chungwa unaifanyaje unaipakazia kule chini au inakuaje kuaje mkuu?
Hahahaha imebidi kwanza nicheke weee kwa hio ndio mambo ya Tanga hayo?Mambo ya mkoleni haya aka jando na unyago.
Wanawake wa ki-Tanga hoyeeee....!
Mapenzi himaaa 🤪
Mahaba juuu...😁.
Halafu huwa tunamalizia kwa kusingwa kwa asali ya vuguvugu kule maeneo haswa siku ukiwa umetoka kufyeka msitu. Basi uwanja unabaki mlainiii, mtekeee, mtamuuuu, mnatonato unaanzia hapa juujuu akiingia ndani unasikia mtu .....
Mamaaa nimekomaa, mamaa sirudii tenaaa, wee mwanamke utaniuwa weweee, mbona sishibi...😜.
Hahahaha imebidi kwanza nicheke weee kwa hio ndio mambo ya Tanga hayo?
Hahaha majeruhi tena hapo ndio inakuwaje kuwaje?Eewaaaah sasa umefuzu kidato, uko tayari kwenda kukitumikia kikokotoo.
Kikubwa tuu uepushe majeruhi maana hakuna first aid 🤪.
Hahaha majeruhi tena hapo ndio inakuwaje kuwaje?
Aweee hapo sasa nimeelewa vizuri kula nibakishie Baba aweeUnakula kwa kiasi kesho nayo ni siku...
Kama enzi zileee za kula mchanga kwa kuuchimbachimba, kula mbakishie baba, kula mbakishie baba, atayeangusha kijiti lwakee ama laah awe na mbio kweli kweli.
Ukila kwa kufakamia rahisi sana kusababisha majeruhi.
Usijali elimu haina mwisho.
Aweee hapo sasa nimeelewa vizuri kula nibakishie Baba awee
Hahahaha ila wewe Mwanamke wa kitanga balaa lako sio dogoKanyaga twendee...👋.