Nakuunga mkono, kuna watu wana chezesha kiuno anajifanya kapiga push ups 100Push up nzuri unatakiwa upige deep na taratibu , unashuka chini unatulia halafu unapanda unatulia , ukipiga push up namna hii kwa set utaona matokeo mazuri Sana.
Kwa Push ups tu!??? Naona inakomaza tu viungo vya mwili tuMgonjwa kama pressure, sukari yana kaa mbali.
Ni kawaida mzee, hiyo hutokea wakati waa kujinyosha viungo, ukipiga push ups sana viungo vinakomaa, ukirelax vinalia kaaa kaaaBaada ya kuona The Rock anapiga pushups 150 kwa siku nilianza...heheh nilipiga mia kwa siku kwa wiki nzima mpaka sasa katikati ya kifua nikiinama panalia kacha kama mfupa unajinyoosha ila hamna maumivu.
Kuna dawa au msaada wowote au ni kawaida kwenye mazoezi
Hahaaaa mkuu staki shida kabisa kujitesa na Mambo magumuAhahahaha wewe utapiga ukishindwa kunyanyuka nakunyanyua...teh!!
Hahahah ndo inanitokea kwa sasaNi kawaida mzee, hiyo hutokea wakati waa kujinyosha viungo, ukipiga push ups sana viungo vinakomaa, ukirelax vinalia kaaa kaaa
Bora mazoezi yakutese maana kisukari na hizo presha watu wanakunywa dawa mpaka huruma,clinic ya macho wapo na clinic ya moyo wapo...tufanye mazoezi tusilegeze mwiliHahaaaa mkuu staki shida kabisa kujitesa na Mambo magumu
Roller ya kata tumboKwa kifaa hiki napiga 50 za kwaida 20... View attachment 1528663
Push ups zinasaidia sana maana unafanya sehemu yoyote na muda wowote na squart husaidia mzunguko wa damu vizuri hasa sisi wanaume damu kuzunguka kiunoni na nguvu za kiumeKwa Push ups tu!??? Naona inakomaza tu viungo vya mwili tu
Hapo uliposema na nguvu za kiume utasababisha watu wawe wanapiga mpaka barabarani...Push ups zinasaidia sana maana unafanya sehemu yoyote na muda wowote na squart husaidia mzunguko wa damu vizuri hasa sisi wanaume damu kuzunguka kiunoni na nguvu za kiume
Watu hawajui squart na push ups kwa mwanaume ni muhimu kuliko supu ya pwezaHapo uliposema na nguvu za kume utasababisaha watu wawe wanapiga mpaka barabarani...
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wewe ua an expert... Umeelezea vizuriPush ups zinasaidia sana maana unafanya sehemu yoyote na muda wowote na squart husaidia mzunguko wa damu vizuri hasa sisi wanaume damu kuzunguka kiunoni na nguvu za kiume
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ila squating ukipiga nyingi unaweza usiende haja kubwaWatu hawajui squart na push ups kwa mwanaume ni muhimu kuliko supu ya pweza
Unajiona baunsa unaweza nyanyua nyumbaAisee nimeanza jion hii haya mazoezi nimepiga push-up 60 kwa mafungu ya kumi kumi na squats nimepiga 60 hvyo hvyo kwa mafungu ya kumi kumi hapa najiona baunsa kifuani hope na kitambi kitaishia
Kabisa mzee leo ndo nimejua kwann wabeba chuma ni wakorofiUnajiona baunsa unaweza nyanyua nyumba
Kama mimi na matokeo nimeyaona50 pushups kabla sijaingia bafuni.