Wapenzi wa push-ups & squats

Wapenzi wa push-ups & squats

Salaam wakuu na hongereni kwa kushiriki vita ya kuitokomeza corona

Katika kuweka mwili fiti nimeona Kuna mazoezi mawili yasiyohitaji eneo kubwa, na hata chumbani unaweza kuyafanya, nayo Ni pushups kwa kujenga mwonekano wa juu wa mwili , na squarts kwa kujenga mwonekano wa chini wa mwili

Wapenzi wa mazoezi hayo karibuni mtuambie ulianzaje kupiga push-ups na unamudu kupiga pushups ngapi, squarts ngapi na utimamu wa mwili wako ukoje.

Karibuni
Napiga mara moja moja push up, 200, usiku, squat, 100. Nimezeeka now days. Wakati wa ujana wangu, nikiwa chuo, nilikuwa napiga push up, 500 kila siku jioni na squat 300
 
Imekaa poa sana hii mkuu. Me kwa upande wangu now napiga push 600 per morning na squat 500 plus kata tumbo naenda round 20x10=200 every morning
We Jamaa kama unapiga vizuri hizi pushup, utakuwa na kifua na mkono wa hatari. Mimi chuoni walikuwa wananiita kifua chuma. Pushup ilinikolea balaa.
 
,
Leo siku ya nne ya zoez ila naona push-up zinazid kupungua saiz siend zaid ya kumi kwa awamu moja na hii kitu squart naona kama n kwa wadada tuu mana naona Kuna kitu kama baba au mwanaume naona itaniathiri
Ahahahahaa we jamamaa , emu tumia ata ii mitandao ya kijamii ingia ata YouTube utajua humuim wa squart Kwa men.
 
1..Push ups 100 asubuhi na jioni,,
30 push ups at once..
2..Ngumi hewani kama cherehani..
3..naruka kamba haina idadi...
IMG_20200820_083205.jpeg
 
Napiga mara moja moja push up, 200, usiku, squat, 100. Nimezeeka now days. Wakati wa ujana wangu, nikiwa chuo, nilikuwa napiga push up, 500 kila siku jioni na squat 300
Squart kila siku vp mguu ilikuwa haiumi.
 
Ho
Push up Ni zoezi zuri...

Anza pale ulipo...halafu Hakikisha unajichalenge mwenyewe kila siku..

Mfano leo ukipiga tano.. kesho piga Saba, keshokutwa 8,

Hakikisha unaizidi Jana...

Utakaa sawa TU...
Mimi nilianza na Saba....
Ila Sasa nakimbiza 50+ mzunguuko mmoja
Hongera
 
Back
Top Bottom