Wapenzi wa push-ups & squats

Wapenzi wa push-ups & squats

Una experience yoyote ya mazoezi Mkuu ni vyema ujifunze kitu ndio uchangie mada, Chest Workout kwenye Free Weight kuna Mitindo ya kupiga 50+ kuna position za Banch 50+ kuna Weight tape 50+ kuna weight position 50+ then from no where unakuja kusema push-up inapasua kifua What hell a you write here.

Kuna position za kujaza kifua, kutanua, kupasua nk is Push-up kuna yote hayo

Vitu unavyofananisha ni sawa na Mkoa na Bala, Push-up(Dodoma) Free Weight(EUROPE)...Guys tutafute maarifa duniani.

Bodybuilders, Models, Bodyguards nk...vile target yako ni kujenga mwili kivipi unataka most of them ni Free Weight Workout.

Tuvijue vitu ndio tuchangie.
Nyie ndiyo wale wale wazee wa nadharia kuliko vitendo wazee wa details lakini hamna kitu, sijakataa kama chuma hakijengi kifua ni upigaji na namna unavyoseti kimo chako wakati unapiga,

Ila push ups ni best zaidi ila kwa kuwa unaleta usomi mwingi sana kwenye vyuma huwezi chukua mawazo ya mwenzako unayaona yako ni bora zaidi, halafu pia uwe na adabu unamzuiaje mtu kuchangia hoja zake kuna vijamaa mna akili za kitoto kweli
 
Nyie ndiyo wale wale wazee wa nadharia kuliko vitendo wazee wa details lakini hamna kitu, sijakataa kama chuma hakijengi kifua ni upigaji na namna unavyoseti kimo chako wakati unapiga,

Ila push ups ni best zaidi ila kwa kuwa unaleta usomi mwingi sana kwenye vyuma huwezi chukua mawazo ya mwenzako unayaona yako ni bora zaidi, halafu pia uwe na adabu unamzuiaje mtu kuchangia hoja zake kuna vijamaa mna akili za kitoto kweli
Nadharia ninafanya Gym Workout toka Form Two unaniambia naongea nadharia navyoandika nina Home Gym sema nimeStay kwa muda mrefu kwasababu mblimbali.

Nakuandikia kilichopo

Fanya hivi Chukua ndugu wawili Identical Twins waliofanna kilakitu hasa Body weight na posture mmoja mpeleke afanye Free Weight Na mmoja Body Weight then waangalie baada ya mwezi mmoja au miwili utakuja kuniambia.
 
Nadharia ninafanya Gym Workout toka Form Two unaniambia naongea nadharia navyoandika nina Home Gym sema nimeStay kwa muda mrefu kwasababu mblimbali.

Nakuandikia kilichopo

Fanya hivi Chukua ndugu wawili Identical Twins waliofanna kilakitu hasa Body weight na posture mmoja mpeleke afanye Free Weight Na mmoja Body Weight then waangalie baada ya mwezi mmoja au miwili utakuja kuniambia.
Weka picha tuone
 
Una experience yoyote ya mazoezi Mkuu ni vyema ujifunze kitu ndio uchangie mada, Chest Workout kwenye Free Weight kuna Mitindo ya kupiga 50+ kuna position za Banch 50+ kuna Weight tape 50+ kuna weight position 50+ then from no where unakuja kusema push-up inapasua kifua What hell a you write here.

Kuna position za kujaza kifua, kutanua, kupasua nk is Push-up kuna yote hayo

Vitu unavyofananisha ni sawa na Mkoa na Bala, Push-up(Dodoma) Free Weight(EUROPE)...Guys tutafute maarifa duniani.

Bodybuilders, Models, Bodyguards nk...vile target yako ni kujenga mwili kivipi unataka most of them ni Free Weight Workout.

Tuvijue vitu ndio tuchangie.
Sema mimi mwenyewe napendaga kucheza sana push up ,lakin nikijisikia kujaza mwili kidogo na kuukata naingiaga gym kama wiki 2 tu ivi nakuwa kama nilivotaka, chuma ukiijulia sio ya kufananisha na vitu vya kijinga
 
Una experience yoyote ya mazoezi Mkuu ni vyema ujifunze kitu ndio uchangie mada, Chest Workout kwenye Free Weight kuna Mitindo ya kupiga 50+ kuna position za Banch 50+ kuna Weight tape 50+ kuna weight position 50+ then from no where unakuja kusema push-up inapasua kifua What hell a you write here.

Kuna position za kujaza kifua, kutanua, kupasua nk is Push-up kuna yote hayo

Vitu unavyofananisha ni sawa na Mkoa na Bala, Push-up(Dodoma) Free Weight(EUROPE)...Guys tutafute maarifa duniani.

Bodybuilders, Models, Bodyguards nk...vile target yako ni kujenga mwili kivipi unataka most of them ni Free Weight Workout.

Tuvijue vitu ndio tuchangie.
hapa nakupinga pia, hizo free weight zinataka position ili kupata matokeo unayoyataka. Hujawahi kupiga pushups weweee.
 
Nadharia ninafanya Gym Workout toka Form Two unaniambia naongea nadharia navyoandika nina Home Gym sema nimeStay kwa muda mrefu kwasababu mblimbali.

Nakuandikia kilichopo

Fanya hivi Chukua ndugu wawili Identical Twins waliofanna kilakitu hasa Body weight na posture mmoja mpeleke afanye Free Weight Na mmoja Body Weight then waangalie baada ya mwezi mmoja au miwili utakuja kuniambia.
sasa hapa unaongelea uharaka wa matokeo au nini!? Jibu swali, pushups zinakata kifua au hazi?kati
 
Kila siku kabla sijaingia kwenye mitikasi yangu lazima nipige push ups ,sit ups na squarts za kushato .

Ijumaa ratiba yangu Ni jogging hadi jumapili .

Najsikia fresh sana nikifanya haya mazoezi

Na shemeji yenu anaipata pata[emoji1]
 
Push up ni za ziada huwa kila asubuhi napiga 25,usiku 25 jumla 40 squarts huwa ni 50 kuchangamsha.

Nipo timamu akili na mwili nisipopiga huwa sijisikii vizuri kabisa.
Yaani wewe Ni Kama Mimi tu aisee nisipopiga tizi huwa najiona mvivu nakua fyongo
 
Push up Ni zoezi zuri...

Anza pale ulipo...halafu Hakikisha unajichalenge mwenyewe kila siku..

Mfano leo ukipiga tano.. kesho piga Saba, keshokutwa 8,

Hakikisha unaizidi Jana...

Utakaa sawa TU...
Mimi nilianza na Saba....
Ila Sasa nakimbiza 50+ mzunguuko mmoja
Hata Mimi hio ndio navyofanyaga.

Nilikuwa nina kamili kembambe

Ili nilikuwa napiga tizi daily

Saizi nimeipata nyama nya mwili naoneka jitu kabeja [emoji1]
 
Wakati niko kwnye peak ya mazoezi mwaka 2009-2013

Nilikuwa napiga push up 350+ ndani ya 45dkika kwa siku

Nilikuwa naendesha baiskeli kutoka mabibo mpaka kibamba kwenda na kurudi mara 2 kwa siku

Now napiga push up 200 tu kwa siku


Nilishindwa kumantain, sababu ya kuwajua wanawake aisee
Mzee wa korokwincho kincho korokwincho[emoji1][emoji115]
 
Nakumbuka wakati niko skonga nilikua mtu wa misala na siku nikitaitishwa adhabu ilikua ni uncounted sticks na kupiga pushups 30 halafu ni mtupu yani nikipiga kumi ulimi wote nje

Basi nikawa natoka darasani naenda chimbo na wanangu kila siku nikawa na-force nalala 20 kwa muda wa mwezi nikawa naweza kupiga 70 bila kupumzika
Mimi nilipokuwa JKT ndio nilijua mwili uko timamu kiasi gani .

Tulikuwa tunapigishwa zile chiniiiiiiii, mnakaa dakika 10 halafu juuuuuuu Kisha Tena chini

Nilitoka sugu za mikono

Mikono yangu ilikuwa inanguvu Sana duuuh ilikuwa noma halafu zile kwata ,vichurachura,kubeba tofali tano kichwani umbali wa KM3 na kulima

Nikitoka JKt Niko fit mbaya halafu najiamini kinyama[emoji1]
 
Una experience yoyote ya mazoezi Mkuu ni vyema ujifunze kitu ndio uchangie mada, Chest Workout kwenye Free Weight kuna Mitindo ya kupiga 50+ kuna position za Banch 50+ kuna Weight tape 50+ kuna weight position 50+ then from no where unakuja kusema push-up inapasua kifua What hell a you write here.

Kuna position za kujaza kifua, kutanua, kupasua nk is Push-up kuna yote hayo

Vitu unavyofananisha ni sawa na Mkoa na Bala, Push-up(Dodoma) Free Weight(EUROPE)...Guys tutafute maarifa duniani.

Bodybuilders, Models, Bodyguards nk...vile target yako ni kujenga mwili kivipi unataka most of them ni Free Weight Workout.

Tuvijue vitu ndio tuchangie.

Unabishana na mtu ambae hana experience yoyote na gym mkuu. Kama push-ups zinakata kifua basi kina kaigreene wangekua hawaendi gym.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] We jamaa ni mnafiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo push ups tano ni ndogo kweli si bora kuliko kutopiga kabisa inakata na tumbo kidogo
Mkuu kuwa serious kidogo, matokeo ya kubeba ndoo ya maji wakati wa kwenda wash room ni makubwa ukilinganisha na pushap tano kwa siku
 
Unabishana na mtu ambae hana experience yoyote na gym mkuu. Kama push-ups zinakata kifua basi kina kaigreene wangekua hawaendi gym.
Wakina Ronnie Coleman, Jay Cutter no unawajua hao ma Mr Olimpia wewe sasa ndio mkongwe nilikuwa napoteza energy kwa hawa watoto unafananisha chuma na upuuzi

kuna msemo unasema "Chuma hakiongopi”
 
Mkuu kuwa serious kidogo, matokeo ya kubeba ndoo ya maji wakati wa kwenda wash room ni makubwa ukilinganisha na pushap tano kwa siku
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Mimi waga napiga kila siku usiku,,Naanziaga 10,nakuja kupiga 9 alaf 8 then 7,,yaani nakuwa nashuka hadi 1,,Kwahyo jumla nakuwa nimepiga pushups 55,,Pamoja na Ku'squart
 
Jump squats nagonga 200-250 na umbo la mapaja limebadilika
Plank nafanya 40 seconds
Buttock brigdes x 30
Abnormal crunches 100
Heel touch 50
Leg raises 50
Bicycles crunches 48
Side planks 20 seconds each side
Side push ups 20 each side
Cobra stretch
Russian twists
Etc
Weka kwa kiswahili mm cjaelewa nami nimuumin wa pushup nizjue hizo aina
 
Back
Top Bottom