Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Kumbe wewe ni kibabu hivoπππππ
View attachment 1724827
My Favorite Daily Drinks.Kwa wale wenzangu na mie ambao siku haiwezi kupita hasa kipindi hiki cha joto bila kushusha kinywaji baridiii hebu tukutane hapa tupeane mikakati na mbinu za kuendelea ku enjoy hiki kinywaji.
Wenzetu wanywa bia na vinywaji vikali hebu mtupishe kwanza......
View attachment 1724795
Na Castle LGrand malta
Hiki ni kilevi mkuuUlanzi
ila nina dushe zuri sana!πππKumbe wewe ni kibabu hivoππ
Acha ujuaji mwingiHayo masukari mwilini yanawasaidia nini? Bora hata mngekunywa maziwa kuliko hizo flavour.
Maziwa gani? Fresh tukakinge kwa ng'ombe au mtindi, na yoghurts ambazo huko viwandani hujui ni materials zipi waliongeza?Hayo masukari mwilini yanawasaidia nini? Bora hata mngekunywa maziwa kuliko hizo flavour.
Umekimbuka kuchanganya na konyagi kidogo?
We mi sijauliza dushe bana liwe la bluu ama njano utajua wewe!π Niliuza huo uzee wako na vimiwani vyako hivo vibaya Δ·umbe ndiye weweπila nina dushe zuri sana!πππ
Tunaheshim mawazo yako pia mkuu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hayo masukari mwilini yanawasaidia nini? Bora hata mngekunywa maziwa kuliko hizo flavour.
Nimefeel vile Apple punch baridiii inashuka kooni na hiki kijua πApple punch ya baridi inakaa poa...
Inapendeza...Nimefeel vile Apple punch baridiii inashuka kooni na hiki kijua π