Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coke is my fantasy napenda sana hiyo kitu hadi imeniletea some kind of addiction, which I'm struggling kupunguzaMy Favorite Daily Drinks.
Note: Situmii vinywaji vyeusi walasiwezi kununua ( Labda mtu aninunulie na kusiwe na altenative )
View attachment 1724854View attachment 1724853
View attachment 1724855
View attachment 1724866
Kula santaiza ww achana na masukariTunaheshim mawazo yako pia mkuu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkizidisha mnamkaribisha CoronaMaziwa gani? Fresh tukakinge kwa ng'ombe au mtindi, na yoghurts ambazo huko viwandani hujui ni materials zipi waliongeza?
Mkuu we're all dying, hata ukikesha unakunywa tu maji.
Mbona kinywaji changu hapi hakipoKwa wale wenzangu na mie ambao siku haiwezi kupita hasa kipindi hiki cha joto bila kushusha kinywaji baridiii hebu tukutane hapa tupeane mikakati na mbinu za kuendelea ku enjoy hiki kinywaji.
Wenzetu wanywa bia na vinywaji vikali hebu mtupishe kwanza.
View attachment 1724795
Hahaaaa.. mkuu umeona usindikizie na andiko kabisa 😂😂😂Nawasalimu wanywa vinywaji baridi pekee. ila nimenusa harufu ya mamluki humu. Wakipata Pesa nyingi watakuja kupost pombe humu.
View attachment 1725306
Husiwashtue, waache kwanza wajimalizeHayo masukari mwilini yanawasaidia nini? Bora hata mngekunywa maziwa kuliko hizo flavour.
BajitikaKinywaji gani..? Hebu kiweke hapa
Yap ili tusilaumiane kesho.Hahaaaa.. mkuu umeona usindikizie na andiko kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]