Wapenzi wa Vinywaji baridi Visivyo na Kilevi tukutane hapa

Wapenzi wa Vinywaji baridi Visivyo na Kilevi tukutane hapa

Grand malt
3 horses
Bavaria
Coke
Maji
Schweppes Novida
Ceres juice tropical
 

Attachments

  • images (13).jpeg
    images (13).jpeg
    10.5 KB · Views: 32
  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    12.8 KB · Views: 33
  • images (11).jpeg
    images (11).jpeg
    4.9 KB · Views: 29
  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    17.6 KB · Views: 28
  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    20.9 KB · Views: 25
Maziwa gani? Fresh tukakinge kwa ng'ombe au mtindi, na yoghurts ambazo huko viwandani hujui ni materials zipi waliongeza?


Mkuu we're all dying, hata ukikesha unakunywa tu maji.
Mkizidisha mnamkaribisha Corona
 
Kwa wale wenzangu na mie ambao siku haiwezi kupita hasa kipindi hiki cha joto bila kushusha kinywaji baridiii hebu tukutane hapa tupeane mikakati na mbinu za kuendelea ku enjoy hiki kinywaji.

Wenzetu wanywa bia na vinywaji vikali hebu mtupishe kwanza.

View attachment 1724795
Mbona kinywaji changu hapi hakipo
 
Hivi hakuna wine[emoji485] ambayo haina kilevi natamani kuchapa hii kituu
 
Azam Malta
Grand Malta
Fanta 🍊
Mo chungwa

Over
 
Back
Top Bottom