Wapenzi walioanzia Chuoni ndoa zao zinadumu sana

Wapenzi walioanzia Chuoni ndoa zao zinadumu sana

Granted Faith

Member
Joined
Jul 4, 2021
Posts
57
Reaction score
292
Ukipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia.

Tafiti isiyo rasmi inaonesha waliooana na wapenzi wao wa chuo ndoa zinadumu sana.

Na Ndoa nyingi za wapenzi walioanzia chuo zilidumu sana.
 
Weekend wanaijiwa Sana na magari yaani acha wewe.
Yaa Kama mlikuwa mnakulana tokea first year na sio kutumiana uwezekano upo wa kudumu. Yaani Bata mle pamoja msome pamoja. Sio mmoja anachepuka anakumbia vumilia mpaka ndoa
 
Ukipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia.

Tafiti isiyo rasmi inaonesha waliooana na wapenzi wao wa chuo ndoa zinadumu sana.

Na Ndoa nyingi za wapenzi walioanzia chuo zilidumu sana.
Tangu nizaliwe mpka Leo hii nimekuwa mtu mzima sijawahi kuona wala kusikia eti kuna wanachuo wameoana ambao uhusiano ulianzia Chuo

Kwa kifupi tuu hizo ni ndoto za alinachaaaa
 
Ukipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia.

Tafiti isiyo rasmi inaonesha waliooana na wapenzi wao wa chuo ndoa zinadumu sana.

Na Ndoa nyingi za wapenzi walioanzia chuo zilidumu sana.
Sawa
 
Kuna ka mwanafunzi unakatokea afu kapo humu na hakakuelewi?

Hebu mtag tukutetee kwa njia ingine.

Hiyo tuiache kwanza.
Mmmh humu unamjuaje mtu kama ni mwanafunzi?
 
Back
Top Bottom