Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
......wanaupiga mwingi!!!wadada wa chuo wanaliwa kinoma
Hadi uzoefu unaonesha huwezi kumuoa wanamke ambaye mnalingana umri au mnakaribiana range iwe kuanzia miaka 4 na kuendeleaIpo imevunjika baada ya miaka 2 ya ndoa.
Walikuwa classmate huko chuo
"Tafiti isiyo rasmi" mwisho wa kunukuu...[emoji2960]Ukipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia...
Kula 5 popote ulipo mi nitalipia ChifuHadi uzoefu unaonesha huwezi kumuoa wanamke ambaye mnalingana umri au mnakaribiana range iwe kuanzia miaka 4 na kuendelea
Tangu nizaliwe mpka Leo hii nimekuwa mtu mzima sijawahi kuona wala kusikia eti kuna wanachuo wameoana ambao uhusiano ulianzia ChuoUkipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia.
Tafiti isiyo rasmi inaonesha waliooana na wapenzi wao wa chuo ndoa zinadumu sana.
Na Ndoa nyingi za wapenzi walioanzia chuo zilidumu sana.
SawaUkipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia.
Tafiti isiyo rasmi inaonesha waliooana na wapenzi wao wa chuo ndoa zinadumu sana.
Na Ndoa nyingi za wapenzi walioanzia chuo zilidumu sana.
Mmmh humu unamjuaje mtu kama ni mwanafunzi?Kuna ka mwanafunzi unakatokea afu kapo humu na hakakuelewi?
Hebu mtag tukutetee kwa njia ingine.
Hiyo tuiache kwanza.