Katawa complx
Member
- Jan 2, 2018
- 15
- 13
Wapo wengi mbn mifamo ipo mingi, simple eg. kigwangala na mkewe walkutana chuo na etcsTangu nizaliwe mpka Leo hii nimekuwa mtu mzima sijawahi kuona wala kusikia eti kuna wanachuo wameoana ambao uhusiano ulianzia Chuo
Kwa kifupi tuu hizo ni ndoto za alinachaaaa
Mimi na mke wangu ni classmate chuo kimoja hapa bongo. Mwaka wa 10 tangu tuoane mwaka wa 14 tangu tuanze kuweka mipango ya pamoja. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia.
Tafiti isiyo rasmi inaonesha waliooana na wapenzi wao wa chuo ndoa zinadumu sana.
Na Ndoa nyingi za wapenzi walioanzia chuo zilidumu sana.
Ke sisi tulioanzia sekondari?Ukipata nafasi oa/olewa na mpenzi wako ambaye mpo wote chuo sababu mnajuana uhalisia.
Tafiti isiyo rasmi inaonesha waliooana na wapenzi wao wa chuo ndoa zinadumu sana.
Na Ndoa nyingi za wapenzi walioanzia chuo zilidumu sana.
Wapo wengi wanaoana tembea uone.Tangu nizaliwe mpka Leo hii nimekuwa mtu mzima sijawahi kuona wala kusikia eti kuna wanachuo wameoana ambao uhusiano ulianzia Chuo
Kwa kifupi tuu hizo ni ndoto za alinachaaaa
Utadhani hawamalizi chuo.Wadada wa chuo wanaliwa kinoma
Points. HongeraNi ngumu kwa wanachuo kuoana au kudumu kwenye ndoa kwa furaha muda mrefu akiwa wataoana. Sababu haswaa ni hizi.
1. Watu wenye kufanana kiumri, elimu na fani ni vigumu kufikiria kuoana au kufurahia maisha ya ndoa kwa muda mrefu. Wanachuo wanaangukia kwenye
N ngum sanaaaa[emoji41]Ni ngumu kwa wanachuo kuoana au kudumu kwenye ndoa kwa furaha muda mrefu akiwa wataoana. Sababu haswaa ni hizi.
1. Watu wenye kufanana kiumri, elimu na fani ni vigumu kufikiria kuoana au kufurahia maisha ya ndoa kwa muda mrefu. Wanachuo wanaangukia kwenye
ππππko wanachuo mnataka mdumu Na watu gani? Wakitaa mnatuacha njia pandaN ngum sanaaaa[emoji41]
[emoji16][emoji16][emoji16] tunadum na hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ko wanachuo mnataka mdumu Na watu gani? Wakitaa mnatuacha njia panda
Mnazo tafut au Za hao hao wanaume?[emoji16][emoji16][emoji16] tunadum na hela[emoji23][emoji23][emoji23]
Za wanaume [emoji23]mnazo tafut au Za hao hao wanaume?
Sawa jiandae kuliwa kimasihara!Za wanaume [emoji23]
[emoji15]sawa jiandae kuliwa kimasihara!