Wapenzi walioanzia Chuoni ndoa zao zinadumu sana

Chuo mates ninaowafahamu wameoana na wanabarikiwa sana.....
 
Waliachana baada ya kuajiriwa hiyo majuz
 
Vijana wa kiume acheni “ kukomiti” mapema..
Hao agemates na classmates wenu watawazeekea and muone mmeweka ndani wazee...
Pili usioe mtu anaekujua from zero “respect” huwa hawana...and huwa hawataki “ ugrow “ kuwa Mtu mwingine utatupiwa vijembe vijembe mdogo mdogo

Kumbuka nabii hakubaliki nyumbani kwao kwa sababu wanamjua since utotoni.

Chuoni usidate, hit and run

Wa kuweka ndani watakuja tu na watakuwepo tuu ila asiwe Mtu anaekujua since day one
 
Nashika msimamo wako nikiwa field ofisi ya kampuni moja kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…