Wapi alipo Nurjehan aliyefaulu mtihani wa kitaifa na professor issa shivji 1960?

Hii makala ni nzuri sana.Nakumbuks wakati tunasoma wapo wenye asili hizo pia wakishikia shule nzima,hasa wasichana,wako wapi hawa watu?Waliokuwa na akili za ajabu,tena wakishikia kwenye masomo.yq sayansi.
 
Wrwe ni kipanga
 
 
Yule wa Tambaza ni Mustafa Kudra huyu ni Kudrat. Yuko jamaa mwingine anaitwa Micheal Mwakilasa, alipiga 1 ya point 7!. Kuna group walikuwa wanakula jani summit ya Tambaza, wote wakapiga One kali!. Nilipoenda Ilboru, si na mimi nikataka 1, hivyo nikapiga jani!, kilichotokea....

P
 
Upo vizuri Mkuu

ila Warithi wa Taaluma yenu ni fedheha sana kwenu maana wamekuwa wa hovyo hovyo sana …sioni mtu wa kuwarithi Wewe, kina Ulimwengu, Mbwambo, Absalom Majid, Tegambwage, Salva n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…