Wapi alipo Nurjehan aliyefaulu mtihani wa kitaifa na professor issa shivji 1960?

Wapi alipo Nurjehan aliyefaulu mtihani wa kitaifa na professor issa shivji 1960?

Kilosa ilikuwa wilaya nguli zamani

Ova
 
Anakuja mjinga toka kyela ati mwaipopo anataka kuleta ubaguzi wa kijinga kwa Prof! Ndio maana watu walimpuuza na kumsema sana Shivji ni aina ya wanazuoni muhimu sana na maoni yao huheshimika sana hadi na serikali
Huyo mwaipopo mpuz mmoja tu
Lopolopo anaishi kwa kudandia watu tu
Alitaka kuingia mziki wa,sheh chizenga mbona alilambishwa reli

Ova
 
Hoja za Prof Shivji kujibiwa na Mwijaku na Baba Levo ilipaswa iwe ni uhujumu elimu
Tanzania sahv kuna kitu kinafanyika
Yaani akili ndogo,mtu hajuwi lllote
Ilimradi tu Ana vi followers, anapewa nafasi ya kuzungumzia mambo muhimu ya nchi
Wanachofanya wanazalisha wajingjing wengi ili wawepo

Ova
 
Pascal Mayalla
Mtoto wa kota
Mohamed Said
Mtoto wa kishua
Abdul Nondo
Mdadavuzi
Sky Eclat
Mkongwe
Mwalimu Mpwayungu Village
Kwa kumbukumbu
Comred MSEZA MKULU upo kweli?
FaizaFoxy pita huku
Na wengineo karibuni

Bila elimu hakuna la maana tunaweza kufanya. Hata Ismalias wameshika sehemu nyeti za uchumi sababu wanapenda sana elimu na wanajituma kwenye biashara.
Ni watu wanaosaidiana sana kuhakikisha hakuna anayebakia nyuma. Sisi tuendelee kudharaulina sababu ya makabila, dini au tumezaliwa wapi, ili tuendelee kuwa watumishiwa wanaosoma
 
Hongera mkuu!

Na wewe ni Mzalendo halisi kama Profesa Issa Shivji?
Mkuu Golidi, GoldDhahabu , huwezi amini hii post yako ndio nimeiona leo!.
Mimi pia ni mzalendo, ikatokea nimemkubali sana Prof. Shivji, akaja kuwa Mwalimu wangu wa LW100 Admin Law ndio mambo ya constitution, somo lake nilipasua A, utadhani mtihani nilitunga mimi!.

Baada ya kuanza kujenga familia, mimi na wife tulihamia UK, wife akagomea huko, mimi uzalendo ukanirudisha Bongo, nikamlazimisha wife kurudi, akarudi shingo upande.

Akapa scholarship ya 4 years US, fully funded, nikamjoin, lakini uzalendo ukanirudisha Bongo!. Wife na kids are now US subjects, mimi ni mbongo kwa uzalendo tuu!.
Humu jf, nimepandisha mabandiko zaidi ya 10 ya Prof. Shivji
 
Kwa nini Shivji hakupewa bitengo vikubwa hata mkuu wa mkoa tu. Bright mind wabaishia kufundidha tu miaka yote vadala wawe thinktank jwenye vitengo vya uundaji wa sera. Ila siipendi tu tabua yake ya ijmaa jamaa wa kizamani.
Nikwambie kwenye siasa hakutakiwi akili atakachokisema mkuu no Amri nyinyi chini yake NI utekelezaji tu. Kule huna nafasi ya kutumia akili yako vinginevyo utaliwa kichwa mapema sana urudi Udsm kufundisha
 
Nikwambie kwenye siasa hakutakiwi akili atakachokisema mkuu no Amri nyinyi chini yake NI utekelezaji tu. Kule huna nafasi ya kutumia akili yako vinginevyo utaliwa kichwa mapema sana urudi Udsm kufundisha
Huko ujue kupiga domo tu

Ova
 
Mkuu Golidi, GoldDhahabu , huwezi amini hii post yako ndio nimeiona leo!.
Mimi pia ni mzalendo, ikatokea nimemkubali sana Prof. Shivji, akaja kuwa Mwalimu wangu wa LW100 Admin Law ndio mambo ya constitution, somo lake nilipasua A, utadhani mtihani nilitunga mimi!.

Baada ya kuanza kujenga familia, mimi na wife tulihamia UK, wife akagomea huko, mimi uzalendo ukanirudisha Bongo, nikamlazimisha wife kurudi, akarudi shingo upande.

Akapa scholarship ya 4 years US, fully funded, nikamjoin, lakini uzalendo ukanirudisha Bongo!. Wife na kids are now US subjects, mimi ni mbongo kwa uzalendo tuu!.
Humu jf, nimepandisha mabandiko zaidi ya 10 ya Prof. Shivji
Uko vizuri sana mkuu, sema tu unakoseaga kitu kimoja: kukataa uwepo wa Tanganyika huku ukiutambua uwepo wa nchi ya Zanzibar.
 
Mkuu Golidi, GoldDhahabu , huwezi amini hii post yako ndio nimeiona leo!.
Mimi pia ni mzalendo, ikatokea nimemkubali sana Prof. Shivji, akaja kuwa Mwalimu wangu wa LW100 Admin Law ndio mambo ya constitution, somo lake nilipasua A, utadhani mtihani nilitunga mimi!.

Baada ya kuanza kujenga familia, mimi na wife tulihamia UK, wife akagomea huko, mimi uzalendo ukanirudisha Bongo, nikamlazimisha wife kurudi, akarudi shingo upande.

Akapa scholarship ya 4 years US, fully funded, nikamjoin, lakini uzalendo ukanirudisha Bongo!. Wife na kids are now US subjects, mimi ni mbongo kwa uzalendo tuu!.
Humu jf, nimepandisha mabandiko zaidi ya 10 ya Prof. Shivji
Uko vizuri sana mkuu, sema tu unakoseaga kitu kimoja: kukataa uwepo wa Tanganyika huku ukiutambua uwepo wa nchi ya Zanzibar.
 
Back
Top Bottom