Wapi alipo Nurjehan aliyefaulu mtihani wa kitaifa na professor issa shivji 1960?

Wapi alipo Nurjehan aliyefaulu mtihani wa kitaifa na professor issa shivji 1960?

Asante, leo ndio nimejua kumbe Prof. Shivji alisoma Tambaza!. Ndio Shule yangu!.
Tambaza imetoa vipanga kibao!.
Miaka yetu kuna kipanga akiitwa Mustafa Kudra, alipiga A 11!. Mwingine aliitwa Elhanan Elirehema Lema, huyu alipiga A 10!. Tambaza tulikuwa na A 7 kibao!, mimi mwenyewe nilikuwa na A's kadhaa, nikaenda Ilboru.
P
Illboru ulisoma combi gani kama ni HGL basi unatupanga ujapata A 's kadhaa.
 
Kwa nini Shivji hakupewa bitengo vikubwa hata mkuu wa mkoa tu. Bright mind wabaishia kufundidha tu miaka yote vadala wawe thinktank jwenye vitengo vya uundaji wa sera. Ila siipendi tu tabua yake ya ijmaa jamaa wa kizamani.
 
Ilboru nimesoma HGL by choice, na nilikuwa na A kadhaa!.
P
Bora hata hukwenda kusoma hizo mambo.
Afrika ku apply sayansi kwa vitendo ni usiku wa giza labda usimamizi tu.
Elon Musk anasimulia kuwa alienda ulaya baada ya kuona kuwa hawezi kutenda sayansi kwa vitendo barani Afrika.
Bora tu ulisoma masomo ya kupiga porojo.
Pengine ungekuwa engineer muajiliwa wa wahindi. Kuna ndugu yangu(good processing engineer) aliliwa mkono na mashine za wahindu hawakumlipa hata fidia.
Mwingine kafa nwaka jana kwa kuathirika na chemical kwenye mapafu, hakuna fidia yoyote ndugu walizopewa.
Huwezi kusikia ntaakamu wa sekta za kijamii kaathirika na safety conditions.
Ifike nahsla tuwajulidhe watoto na bdugu madhsra ta fani wanazotaka kusomea.
 
Yule wa Tambaza ni Mustafa Kudra huyu ni Kudrat. Yuko jamaa mwingine anaitwa Micheal Mwakilasa, alipiga 1 ya point 7!. Kuna group walikuwa wanakula jani summit ya Tambaza, wote wakapiga One kali!. Nilipoenda Ilboru, si na mimi nikataka 1, hivyo nikapiga jani!, kilichotokea....

P
Kumbe ndio maana mnasaini ovyooooo
 
Basi hongera sana father Mayalla kama ulipata A za phys na chem na ukaenda kusoma HGL...
No hapana sikupata A ya math, physics, chemistry wala biology, zote nimepiga C, nina A za masomo mengine!.
Sitaki kutaja ili nisionekane najidai, kuna watu wanafanya combination fulani kwa sababu ya uwezo wao, combi nyingine zinawagomea, mimi O Level nimesoma masomo 12 na combi zote zimekubali, nikaenda HGL by choice.
P
 
Huoni kua comment yako itawa Influence madogo wale majani wakidahni watafaulu kama wewe?
Kwa mtu anayetetea ku legalize, kama jani linasaidia vitu, wale tuu branchi.
NB. Mimi haikuniwezesha kupasua, ilinituma vitu vingine!.
P
 
Back
Top Bottom