Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #21
Kinakua kikubwa?Kwa 3M unapata huko Kigamboni Buyuni zaidi ya 50Kms toka Ferry. Jipange
Kwa 3M unapata huko Kigamboni Buyuni zaidi ya 50Kms toka Ferry. Jipange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinakua kikubwa?Kwa 3M unapata huko Kigamboni Buyuni zaidi ya 50Kms toka Ferry. Jipange
Kwa 3M unapata huko Kigamboni Buyuni zaidi ya 50Kms toka Ferry. Jipange
Andika no yako…Kipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.
UkubwaUkifika 3.5m
Njoo kitunda, magole
Hamna si utani! Wengine Kawe hatuijui vizuri tunasoma kata zake kwenye ramani! So kwa we unaepajua vizuri unajua wapi kwa kwendakuna watu mnajua kutania kweli unaamka ukiwa na sh 2mil unakwenda kawe, mbezi beach, mbezi, kimara?
Kibaha siyo pa kupakataa.Dar katka moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu!!… isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.
Karibuni
Kaa mbali na viwanja vya mchongoandika no yako…
Nipe bei za kibaha 3km -5kmKibaha siyo pa kupakataa.
Unajua mpaka miaka ya 95 hiyo Kimara,Mbezi Kibamba na Kiluvya watu walikuwa wananunua viwanja 300K&500K tena heka lakini leo ndiyo sehemu huwezi kupata kiwanja 20×20 kwa bei chini ya 7mil.
Kibaha ndiyo mlango wa mji miaka kumi mbele itakuja kuwa mtu anayetoka Mbezi to city center hawapishani zaidi ya ½saa tofauti na Kigamboni na kipindi hiko watu watataka kusogea Mlandizi,Kibaha panashawishi kwa sasa kimakazi.
Mbondole utapata.Habar wakuu,
Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey
Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani!!
Swali Je ni wap naweza pata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katka moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu!!… isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.
Karibuni
Yaah.. Kibaha Mlandizi ndio sehemu za kukamatia viwanja kadri uwezavyo.Kibaha siyo pa kupakataa.
Unajua mpaka miaka ya 95 hiyo Kimara,Mbezi Kibamba na Kiluvya watu walikuwa wananunua viwanja 300K&500K tena heka lakini leo ndiyo sehemu huwezi kupata kiwanja 20×20 kwa bei chini ya 7mil.
Kibaha ndiyo mlango wa mji miaka kumi mbele itakuja kuwa mtu anayetoka Mbezi to city center hawapishani zaidi ya ½saa tofauti na Kigamboni na kipindi hiko watu watataka kusogea Mlandizi,Kibaha panashawishi kwa sasa kimakazi.
Ni shamba tu mkuuUnaweza tupa picha mzeya
Mbondole ndo wapMbondole utapata.
I agree with you ....Nimechukua plot Kibaha kongowe kata ya Msufini karibu kabisa na Station ya standard gauge railway (SOGA) tayari kuna maeneo yametengwa kwa ajili ya viwanda, Barabara zishaanza kuchongwa ...Kibaha is the best compare to KigamboniKibaha siyo pa kupakataa.
Unajua mpaka miaka ya 95 hiyo Kimara,Mbezi Kibamba na Kiluvya watu walikuwa wananunua viwanja 300K&500K tena heka lakini leo ndiyo sehemu huwezi kupata kiwanja 20×20 kwa bei chini ya 7mil.
Kibaha ndiyo mlango wa mji miaka kumi mbele itakuja kuwa mtu anayetoka Mbezi to city center hawapishani zaidi ya ½saa tofauti na Kigamboni na kipindi hiko watu watataka kusogea Mlandizi,Kibaha panashawishi kwa sasa kimakazi.
Hapana mkuu nimeshauri tu sina idea na hayo mamboNipe bei za kibaha 3km -5km
Hahah! Mkuu!Jamgwani Mkabala na Makao Makuu ya Kitalu cha utangazaji cha GSM chini ya Balozi Hersi
Mbagala mbele mbele huko.mbondole ndo wap
Chalinze kwa mwarabu vipo vilivyopimwaHabar wakuu,
Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey
Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani!!
Swali Je ni wap naweza pata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katka moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu!!… isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.
Karibuni
Omboza sehemu gani mm nipo hapa gogozembeKipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.