Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Kaka huko ni Kisarawe sasa, Homboza sio Chanika bwanaKipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka huko ni Kisarawe sasa, Homboza sio Chanika bwanaKipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.
Andika hiviKipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.
Hivi Homboza siyo Ilala ni Kisarawe eeh? Ila pamechangamka sana paleandika hivi
kipo Homboza, Kisarawe, Pwani
Ilala inaishia Chanika, na MvutiHivi Homboza siyo Ilala ni Kisarawe eeh? Ila pamechangamka sana pale
Ooh...sawa mkuu. Na ukanda ule wa Homboza kuna machimbo ya mchanga kule. Watu wanapiga hela sana kupitia biashara ya mchangaIlala inaishia Chanika, na Mvuti
Temeke asije. Ataondoka uchi 😆 huku tuachieni ngumbaluChanika unapata kwa bajeti hiyo.
Chanika ni wilaya ya Ilala ipo ndani ya Dar. Pia Chamazi ndani ndani ama Mbande ndani ndani unaweza pata cha milioni 3.
Mbande ipo ndani ya wilaya ya Temeke.
Pia Kivule ndani ndani unaweza pata cha milion 3. Hiyo ni wilaya ya Ilala..
Mbondole hata ukipita maeneo ya KIVULE unazipata. Mbali mnoo. Kutoka Banana kwenda Mbondole ni karibu kuliko kutoka mbagala kwenda mbondoleMbagala mbele mbele huko.
Kuna ubaya gani mabwepande?Mabwepande ila kubaya sana
Bei inaendaje bossHivi vya Chalinze kama ikiwezekana weka namba nikutumie ramani ya hivyo viwanja ili ufanye maamuzi ni karibu na Kiwanda cha Tailisi Pingo
Yes mkuu na mimi nimeona hiyo habariSawa kabisa. Kwanza nimeona Rais anasema anataka kujenga barabara ya njia nne mpaka Morogoro. Hivyo ukanda wa kibaha, Mlandizi, Ruvu, Vigwaza mpaka chalinze patakuwa na thamani ya juu sana
Unistue mzee akikwambia
Yes mkuu wahi Vigwaza ila pia uwe na Subira coz 5years + from now ndo unaweza ukaona faida yakeKwa hiyo tuwahi vikwaza au sio!?
Maendeleo yako slow sana mkuuMiaka 60 ya Uhuru Dar bado haijaungana na Chalinze kwenye umbali WA kilomita 100.
Huko Dakawa subiri miaka mingine 100
Nyie ndio huwa mnafanya watu wanakata tamaa ya kununua viwanja na kujenga..mnatakaga faida kubwa mno.Sasa Unaweza kumiliki kiwanja kizuri kwa Bei nzuri kabisa na ukalipa Cash ama ukachukua kwa mkopo Viwanja tulivyonavyo kwa Sasa Ni hivi[emoji116]
[emoji736]Fukayosi Bagamoyo kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,250,000 na kwa mkopo ni Tsh 3000 kwa sqm 1 kwa muda wa miezi 6
[emoji736]kiluvya Makurunge Bei kwa Cash ni Tsh 14,000,000 kwa heka 1 na kwa mkopo ni Tsh 15,000,000 kwa heka 1 kwa miezi 6.
[emoji736]Vigwaza Chalinze unapata kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,450 kwa sqm 1 na kwa mkopo ni Tsh 1,600 kwa sqm 1 kwa miezi minne.
[emoji736]Kiluvya Madukani unapata kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 16,000 kwa sqm 1 na kwa mkopo Tsh 17,000 kwa sqm 1 kwa miezi 6.
[emoji736]Kiwangwa Bei kwa Cash ni Tsh 1,200,000 kwa heka 1 na kwa mkopo Tsh 1,500,000 kwa heka 1 kwa miezi 6.
[emoji736]Kigambo AVICK Town Bei kwa Cash Tsh 13,500 kwa SQM 1 na Kwa mkopo Tsh 15,000 kwa sqm 1 kwa miezi 9.
[emoji736]Goba Kulangwa Bei kwa Cash ni Tsh 41,640 na kwa mkopo Tsh 42,000 kwa sqm kwa miezi mitatu.
[emoji736] Mlandizi Makazi Mapya Bei kwa Cash ni Tsh 15,000,000 kwa heka 1 eneo hili linafaa kujenga taasisi za elimu,huduma za afya au kiwanda.
Viwanja Vyote Vimepimwa na huduma zote za kijamii zinapatikana
Tunaweza kutembelea miradi hii siku ya Jumatano/Jumamosi ukajionee then ujiridhishe uchukue hatua
Tuwasiliane chap kupitia What'sapp Поделиться в WhatsApp
Uko sahihi kabisa. Nimeangalia bei ya sqm moja vigwaza 1450 maana yake kwa eka moja ambayo ni sqm 4900 karibia 7M. Kwa mfano hiyo bei ya Vigwaza kiwanja vigwaza ni balaa wakati mi nauza eka moja kwa 2.5M. Hebu kwa anaetaka vigwaza anione tufanye biashara. Ukitaka eka au pungufu ya eka au zaidi nione.Nyie ndio huwa mnafanya watu wanakata tamaa ya kununua viwanja na kujenga..mnatakaga faida kubwa mno.
Ili hali mtu akiamua kwenda mwenye front kutafita viwanja maeneo haya anapata kwa bei nzuri tu.
#MaendeleoHayanaChama