Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko vigwaza Ni surveyed plots? Mshaweka beacons za wizarani ? Vp eneo limesafishwaSasa Unaweza kumiliki kiwanja kizuri kwa Bei nzuri kabisa na ukalipa Cash ama ukachukua kwa mkopo Viwanja tulivyonavyo kwa Sasa Ni hivi[emoji116]
[emoji736]Fukayosi Bagamoyo kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,250,000 na kwa mkopo ni Tsh 3000 kwa sqm 1 kwa muda wa miezi 6
[emoji736]kiluvya Makurunge Bei kwa Cash ni Tsh 14,000,000 kwa heka 1 na kwa mkopo ni Tsh 15,000,000 kwa heka 1 kwa miezi 6.
[emoji736]Vigwaza Chalinze unapata kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,450 kwa sqm 1 na kwa mkopo ni Tsh 1,600 kwa sqm 1 kwa miezi minne.
[emoji736]Kiluvya Madukani unapata kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 16,000 kwa sqm 1 na kwa mkopo Tsh 17,000 kwa sqm 1 kwa miezi 6.
[emoji736]Kiwangwa Bei kwa Cash ni Tsh 1,200,000 kwa heka 1 na kwa mkopo Tsh 1,500,000 kwa heka 1 kwa miezi 6.
[emoji736]Kigambo AVICK Town Bei kwa Cash Tsh 13,500 kwa SQM 1 na Kwa mkopo Tsh 15,000 kwa sqm 1 kwa miezi 9.
[emoji736]Goba Kulangwa Bei kwa Cash ni Tsh 41,640 na kwa mkopo Tsh 42,000 kwa sqm kwa miezi mitatu.
[emoji736] Mlandizi Makazi Mapya Bei kwa Cash ni Tsh 15,000,000 kwa heka 1 eneo hili linafaa kujenga taasisi za elimu,huduma za afya au kiwanda.
Viwanja Vyote Vimepimwa na huduma zote za kijamii zinapatikana
Tunaweza kutembelea miradi hii siku ya Jumatano/Jumamosi ukajionee then ujiridhishe uchukue hatua
Tuwasiliane chap kupitia What'sapp Поделиться в WhatsApp
Kaka huko ni kisarawe sasa homboza sio chanika bwana
Hahaha nimekumbuka Kiluvya kule Makurunge kuna sehemu kunaitwa Kwa KivuziKiluvya kwa sumaye
Hivyo viwanja vya vigwaza sidhan km viko karibu na huduma za kijamii km jamaa anavyovipamba kwenye tangazo lake ...hata kupimwa tuu nna mashaka kama hayo yote ana uhakika nao aweke pichaUko sahihi kabisa. Nimeangalia bei ya sqm moja vigwaza 1450 maana yake kwa eka moja ambayo ni sqm 4900 karibia 7M. Kwa mfano hiyo bei ya Vigwaza kiwanja vigwaza ni balaa wakati mi nauza eka moja kwa 2.5M. Hebu kwa anaetaka vigwaza anione tufanye biashara. Ukitaka eka au pungufu ya eka au zaidi nione.
Kiwangwa ndio wapi?Sasa Unaweza kumiliki kiwanja kizuri kwa Bei nzuri kabisa na ukalipa Cash ama ukachukua kwa mkopo Viwanja tulivyonavyo kwa Sasa Ni hivi👇
✅Fukayosi Bagamoyo kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,250,000 na kwa mkopo ni Tsh 3000 kwa sqm 1 kwa muda wa miezi 6
✅kiluvya Makurunge Bei kwa Cash ni Tsh 14,000,000 kwa heka 1 na kwa mkopo ni Tsh 15,000,000 kwa heka 1 kwa miezi 6.
✅Vigwaza Chalinze unapata kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,450 kwa sqm 1 na kwa mkopo ni Tsh 1,600 kwa sqm 1 kwa miezi minne.
✅Kiluvya Madukani unapata kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 16,000 kwa sqm 1 na kwa mkopo Tsh 17,000 kwa sqm 1 kwa miezi 6.
✅Kiwangwa Bei kwa Cash ni Tsh 1,200,000 kwa heka 1 na kwa mkopo Tsh 1,500,000 kwa heka 1 kwa miezi 6.
✅Kigambo AVICK Town Bei kwa Cash Tsh 13,500 kwa SQM 1 na Kwa mkopo Tsh 15,000 kwa sqm 1 kwa miezi 9.
✅Goba Kulangwa Bei kwa Cash ni Tsh 41,640 na kwa mkopo Tsh 42,000 kwa sqm kwa miezi mitatu.
✅ Mlandizi Makazi Mapya Bei kwa Cash ni Tsh 15,000,000 kwa heka 1 eneo hili linafaa kujenga taasisi za elimu,huduma za afya au kiwanda.
Viwanja Vyote Vimepimwa na huduma zote za kijamii zinapatikana
Tunaweza kutembelea miradi hii siku ya Jumatano/Jumamosi ukajionee then ujiridhishe uchukue hatua
Tuwasiliane chap kupitia What'sapp Поделиться в WhatsApp
Fukayosi kuna uzuri gani?Au kikubwa kabisa na kizuri nenda Fukayose bwagamoyo
Kule huduma ya maji ipo na Azam sugar Sio mbaliFukayosi kuna uzuri gani?
Mbona porini sana
Pamoja na angalizo kuwa isiwe Pwani, Kibaha, jaribu Kitanga- inapakana na wilaya ya Ilala- Nzasa. Fanya matembezi huko, mtafute mzee mmoja maarufu "Ungando".... Hutojutia matokeo yake. Kila la kheri.Habari wakuu,
Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani!!
Swali: Je ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu!!… Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.
Karibuni
Homboza ni Kisarawe kaka kuleHomboza siyo Chanika ?
Kiwangwa iko Kata ya Fukayosi ni njia ya Bagamoyo ..ukishapita Bagamoyo mjini mpaka kiwangwa ni 40kilometers ..Pamechangamka mno kaka ...Ila hayo mashamba anayoyazungumzia unaingia ndani 15kilometers kutoka main road ya bagamoyo -Msata ,yako kijiji kimoja kinaitwa MkengeKiwangwa ndio wapi ?
Kwa maeneo hayo hupati Dar. Milioni Tatu unaweza kupata kiwanja kidogo sana labda 10×15 maeneo ya Dar huko ndani ndani kama Kerege huko kuelekea BagamoyoHabari wakuu,
Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani!!
Swali: Je ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu!!… Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.
Karibuni
Huko si Pwani sasa mkuu, sio Dar tena.Kipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.
Kwahiyo milioni 2 labda ukute watu wanadaiwa bill mochware. Viginevyo we elekea Kisemvule tu au VikinduHabari wakuu,
Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani!!
Swali: Je ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu!!… Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.
Karibuni
Mbezi beach utauziwa kiunga cha bustani tu ili ujenge chumba chako kimojaWapi huko mbezi napoweza jenga chumba kimoja tuu
Ww n Dalali au vyako?Uko sahihi kabisa. Nimeangalia bei ya sqm moja vigwaza 1450 maana yake kwa eka moja ambayo ni sqm 4900 karibia 7M. Kwa mfano hiyo bei ya Vigwaza kiwanja vigwaza ni balaa wakati mi nauza eka moja kwa 2.5M. Hebu kwa anaetaka vigwaza anione tufanye biashara. Ukitaka eka au pungufu ya eka au zaidi nione.
Mi ndio mmiliki mkuu. Karibu sanaWw n Dalali au vyako?