Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Halafu wewe acha ujinga Mlandizi makazi mpya nani amekwambia kuwa heka ni mil 15?Sasa Unaweza kumiliki kiwanja kizuri kwa Bei nzuri kabisa na ukalipa Cash ama ukachukua kwa mkopo Viwanja tulivyonavyo kwa Sasa Ni hivi👇
âś…Fukayosi Bagamoyo kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,250,000 na kwa mkopo ni Tsh 3000 kwa sqm 1 kwa muda wa miezi 6...
Wakati heka ni mil 4 tu..