Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

Toka Dar hadi Bagamoyo, kutoka Bagamoyo unapita Fukayosi ndio unaikuta Kiwangwa kilomita chache kufika Msata. Kama umepita njia ya Bagamoyo-Msata Kiwangwa ni pale unakuta kunauzwa mananasi mengi sana na pamechangamka sana.
Ndio huko wanaposema wanajenga branch ya IFM ama?
Huko unaweza pata heka 15?
 
Kuna viwanja vizuri kibaha,...Msangani na kwa mfipa...BEI NI NZURI NA RAFIKI...[emoji56][emoji56]Vipo kuanzia 1.8Millions, 2Millions na 3 Millions....Bei zote zinazungumzika.

Lazima tujenge.
Simu: +255 768 835 045
 
Back
Top Bottom