Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

Njoo na 1.5M nakupa changu Chanika mwisho kwa Mheshimiwa
 
Habari wakuu,

Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi Beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani.

Swali: Je, ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu! Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.

Karibuni
Kama uko serious nitafute
 
Kibaha siyo pa kupakataa.

Unajua mpaka miaka ya 95 hiyo Kimara, Mbezi Kibamba na Kiluvya watu walikuwa wananunua viwanja 300K&500K tena heka lakini leo ndiyo sehemu huwezi kupata kiwanja 20×20 kwa bei chini ya 7mil,tena ndani kilometre kadhaa kutoka Morogoro Rd.

Kibaha ndiyo mlango wa mji miaka kumi mbele itakuja kuwa mtu anayetoka Kibaha to city center na anayetoka Mbezi hawapishani zaidi ya ½saa tofauti na Kigamboni na kipindi hiko watu watataka kusogea Mlandizi, Kibaha panashawishi kwa sasa kimakazi.
kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibuni GOBA
Nnaviwanja 3 vinakaribiana GOBA Center Ni umbali wa dk 5 kutoka barabara kuu Hadi viwanja vilipo kwa pikipiki
1 hiki ni ML 7 kinamsingi wa nyumba vya vyumba 2 ukubwa wa eneo Ni sqm 350

2 hiki Ni Ml 10 ukubwa Ni sqm 600

3 Ni sqm 890 Bei ML 25
Kwa picha zaidi na maelezo pia kwenda
 

Attachments

  • IMG_20221109_125330_011.jpg
    IMG_20221109_125330_011.jpg
    3.1 MB · Views: 47
Habari wakuu,

Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi Beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani.

Swali: Je, ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu! Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.

Karibuni
Njoo mwasonga nikupe kilichopimwa kwa iyo pesa 28km kutoka Fery na 25km kutoka darahani Ila gharama za kusainisha kwa mwenyekiti n juu yako.
 
Karibuni GOBA
Nnaviwanja 3 vinakaribiana GOBA Center Ni umbali wa dk 5 kutoka barabara kuu Hadi viwanja vilipo kwa pikipiki
1 hiki ni ML 7 kinamsingi wa nyumba vya vyumba 2 ukubwa wa eneo Ni sqm 350

2 hiki Ni Ml 10 ukubwa Ni sqm 600

3 Ni sqm 890 Bei ML 25
Kwa picha zaidi na maelezo pia kwenda
Goba center sehemu gani??? Naishi goba Nina wadau wawil wanatafuta kiwanja huku naomba more picha
 
Njoo mwasonga nikupe kilichopimwa kwa iyo pesa 28km kutoka Fery na 25km kutoka darahani Ila gharama za kusainisha kwa mwenyekiti n juu yako.
Mwenyekiti wa nn mkuu

Ilibid uwe na Tille deeds from Wizara ya Ardhi

Hii ya kuishia kwa mwenyekiti sio salama sana
 
Mwenyekiti wa nn mkuu

Ilibid uwe na Tille deeds from Wizara ya Ardhi

Hii ya kuishia kwa mwenyekiti sio salama sana
Kupitia s/mtaa inaumuhimu ktk kupata utambuzi...maana hata wakati wakufatilia hati itakulazimu ueahusiahe wao ktk kupitisha barua zako za kuomba umiliki kwaio kila kitu kipo kwa umuhimu wake mkuu...
 
Kupitia s/mtaa inaumuhimu ktk kupata utambuzi...maana hata wakati wakufatilia hati itakulazimu ueahusiahe wao ktk kupitisha barua zako za kuomba umiliki kwaio kila kitu kipo kwa umuhimu wake mkuu...
Nimekupata Vyema mkuu
 
TUNAUZA VIWANJA KWAAJILI YA MAKAZI
1.KILUVYA MADUKANI--BEI 8M (UKUBWA 20*20)
2.KIGAMBONI AVICK TOWN--BEI 12.4(UKUBWA 30*25)
3.BAGAMOYO FUKAYOSI--BEI 395,000/=(UKUBWA 20*25)
4.VIGWAZA BANDARI KUU--BEI 580,000/= (UKUBWA 20*20)
5.KIBAMBA eneo lipo barabarani--BEI 50M(UKUBWA HEKA 1 NA ROBO)
6.CHALIZE PINGO--BEI 1.5M KWA HEKA.
7.CHALINZE eneo lipo barabarani--BEI 17M KWA HEKA
Mawasiliano WhatsApp +255625234332
 
Back
Top Bottom