BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
-
- #61
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake.Ni upuuzi kila kitu kulazimishia namba na kuhusisha illuminati na freemaso. watu wameshashtuka kwa sasa. hebu gawanya 777 kwa 11 igawanyike iishe. wabongo mnapenda sana mambo ya kishirikina. na ukikutana na watu kadhaa huko wakakuhusishia na ushirikina basi unakimbilia kuja kuanzisha thread. tumechoka kila siku habari za conspiracy theory hata kwenye vitu ambavyo ni dhahiri kabisa.
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake.
Hakuna kitu kama hicho....WALIKANUSHAMtoa post usiwe mjinga
Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei
Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline
ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona
So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana
Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari
Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita
Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano
Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370
Umejibu vzr lakini kuhusu black box hujajibuMtoa post usiwe mjinga
Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei
Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline
ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona
So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana
Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari
Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita
Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano
Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale kantalambaIpo kwa bibi sumbawangA
ila wewe jamaa nilikuwa naipenda blog yako unaelezea vizuri mambo ya freemason na illuminat, baada ya kuniingiza chaka kuhusu Hillary Clinton nikaacha kabisa kusoma habari kwenye blog yako. Nilihisi huna uhakika na unachoandikaNdugu sikatai kazi zangu kukopiwa na kusambazwa kwa wengine, nadhani hiyo ndiyo sababu ya mimi kuanzisha blogi, napingana na wewe pale unapokataa kukubali kazi si yako, pale unapobania hilo chimbo kwa wengine, we ukikopy weka link hapo chini kuwa huu mzigo nimeuvumbulia sehemu fulani, ndivyo tunavyo fanya hivyo, kwenye posti nyingi za hiyo blogi nimeonesha ni wapi nimetolea hizo data, sababu lengo ni kujenga maarifa kwa hoja mwingine yeyote anakuwa na nafasi nzuri ya kupinga au kuunga mkono hoja. Blohi yenyewe inayo posti zaidi ya 100 zenye maudhui tofauti tofauti, wewe umevutiwa na posti hii lakini ukiweka link mwenzako utakutana na nyingine inayomvutia, utanisaidia kufikisha ujumbe kwa wengi, na kunipa moyo wa kuendelea kuposti mada mpya.
Ni hayo tu.
Unakarabishwa mdau nadhani kwenye post ya queen replaced wasiwasi WaPo huo nimeutoa kabisa, rudi kapitie hizo two post. Lakini ni nani malaika asiyekosea?[emoji1]ila wewe jamaa nilikuwa naipenda blog yako unaelezea vizuri mambo ya freemason na illuminat, baada ya kuniingiza chaka kuhusu Hillary Clinton nikaacha kabisa kusoma habari kwenye blog yako. Nilihisi huna uhakika na unachoandika