Wapi ilipo ndege ya Malaysia MH 370?

Wapi ilipo ndege ya Malaysia MH 370?

ssiachi wacha kunisumbua
Unafikiri ni jibu zuri ulilotoa na litapendeza wengi??? Kua na heshima kwa wenzako sio kila mtu anaweza kununua simu kubwa kama unavyotaka na hata baadhi ya simu pia zinaonyesha quote nzima kabisa.
 
Mtoa post usiwe mjinga

Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei

Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline

ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona

So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana

Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari


Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita

Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano


Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370

dah yani leo bibie umeshusha nondo za uhakika kabisa sio kama zile hadithi zako kule MMU
 
watakuwa wanakusukumizia wewe unanipangia cha kufanya kama nani ? kwani lazma usome nilichoamdika taq.....o lako halafu unaniita fala mamamae zako

Fala wewe
Wakuu nyie wote huwa nawakubali sana
Sasa nashangaa ndege inapotea Malaysia halafu nyie mnagombana huku jf.
Lets have peace wakuu.
Nawaaminia
 
Mimi binafsi nililitilia shaka suala zima la ndege ya Malaysia kutoweka angani na isipatikane kokote kwenye uso wa dunia mpaka hivi leo, bado nalitia mashaka suala hilo kwamba halina ukweli wowote ndani yake, bali ni moja kati ya filamu zao nyingi wanazo ziigiza ilikuendelea kuulaghai umma, lakini zaidi mimi naona ni hayo ni

MAANDALIZI YA KUMTAFUTA ADUI MPYA ATAKAYE CHUKUA NAFASI YA ‘VITA DHIDI YA UGAIDI’.

Kwa kuanzia tu, tuitazame moja ya nambari kuu zinazo pendelewa kutumiwa kishetani na Illuminati, nambari 11.

Wakati ndege hiyo ya Malaysia ikipotea ndani yake kuliwa na abiria 227, nambari hiyo ni sawa na 2+2+7=11, ndege yenyewe ni Boeing 777 nambari inayogawika kwa 11.

Ndege hiyo ya Malaysia ilipatwa na ‘ugonjwa’ kama ule uliozipata ndege za 9/11 ambayo tunajua kuwa tukio lile lilifanywa na utawala wa Bush mwenyewe.

1. Ndege hiyo ya Malaysia ilipoteza mawasiliano kama zilivyokuwa ndege za 9/11. Masaa mawili baada ya ndege hiyo kuondoka ilipoteza mawasiliano kabisa na kitengo cha anga ambacho ndicho kilicho kuwa na dhamana ya kuiongoza ndege hiyo.

2. Ndege hiyo iliacha njia yake ya safari kama ilivyokuwa kwenye 9/11. Ndege hiyo ya Malaysia ikaendelea kusafiri maelfu ya maili nje ya njia yake iliyopaswa kupita bila hata ya kutuma taarifa za tahadhari na msaada kwenye kituo chochote cha kuongezea ndege na kisha ‘ikatoweka’ kama mazingaombwe vile.

3. Ndege hiyo ikapotea kabisa na isionekane kama zilivyo potea ndege iliyo gonga Pentagon na ile ya Pennsylvania kwenye tukio hilo la 9/11.

4. Kama ilivyokuwa kwenye 9/11, kwenye ndege ya Malaysia nako abiria simu zao zilikuwa hewani!!!!!

Kila mtu anajiuliza ni nini hicho? Ndugu na jamaa wa abiria kwenye ndege iliyo potea wamethibitisha kusikia milio ya simu walipojaribu kuwapigia wapendwa wao. Na pia baadhi ya kurasa za fecebook za abiria hao zimeonesha kuwa wapo ‘online'.

Shirika hilo la ndege la Malaysia limethibitisha pia simu ya mhudumu aliyekuwepo kwenye ndege hiyo nayo iliita tu bila kupokelewa na mtu yeyote mpaka ikakata kama zilivyo fanya simu 19 za abiria walio kuwepo kwenye ndege hiyo baada ya kupigia na ndugu na jamaa. Hayo yalisemwa na msemaji wa shirika hilo bwana Hugh Dunleavy.

Lakini pia hadithi ya simu za abiria na ile ya muhudumu kuita inatupatia mwanga wa jambo moja, kwamba ndege hiyo haipo ndani wala chini ya bahari! Simu haiwezi kuita kama ipo ndani ya maji, lakini zaidi simu hiyo lazima iwepo karibu na mnara wa simu, ambao tunajua hauwezi ukawepo chini ya bahari isipokuwa aridhini.

5. Kama ilivyokuwa kwenye 9/11 hapa napo kwenye ndege ya Malaysia mapema kabisa Illuminanti walianza kutoa dondoo za tukio zima takribani miaka minne kabla. Tizama picha hii inayofuata na linganisha na tukio lenyewe kisha kuna kichwa na kujiuliza ikiwa tangazo kwenye picha hiyo limetokea kwa bahati mbaya?

Tunapoendelea kulitolea macho suala hili, tunayo maswali ya msingi ya kujiuliza, kumbukua hapa tunazungumzia ndege kubwa aina ya Boeng, ndege ya kisasa kabisa, ndege hii haijalipuka, haijaanguka mahala kokote, si nchi kavu si baharini, imetoweka ghafla, narudia tena IMETOWEKA GHAFLA ikiwa angani, na haijapatikana mpaka hivi leo.

Vipi kama vile MUVI linajirudia ...?

Vipi wanataka kututengenezea Septemba 11 nyingine au?

Swali # 1

Ndege zote aina ya Boeing 777 zimetengenezwa pamoja na ‘Black Box’ ambayo inaweza kuhimili mlipuko wa aina yeyote ule utakaoipata ndege hizo. Kisanduku hicho kinabeba taarifa zote muhimu yakiwemo mawasiliano ya hatua kwa hatua tangi ndege inapotokea mpaka inapo elekea.

Swali linakuja NI VIPI KIBOKSI HICHO KIMESHINDWA KUTUELEKEZA WAPI NDEGE ILIPO?

Swali # 2

Black Box zote zinayo uwezo wa kuendelea kusafirisha mawasiliano na kutambua wapo kilipo hata kwa muda wa siku 30 hata kama ndege ikiwa imezama baharini.

Swali linakuja ni kitu gani hicho kilicho zima ‘signal’ ya kisanduku hicho kiasi kwamba shughuli za kuipata ndege hiyo zimekuwa ni ndoto. Tunajua ndege hiyo haijawaka moto wala kuzama baharini, sababu simu za abiria na wafanyakazi wa ndege zilikuwa zikiita kila zinapo pigwa. Sasa inakuwaje simu zinaweza kuendelea kuleta mawasiliano lakini kisanduku cheusi kipoteze mawasiliano kabisa?

Swali # 3

Ndege inapokuwa imepotelea baharini, mara zote kuna sehemu na mapande ya ndege hizo yataonekana yakielea baharini.

Kama ndege ya Malaysia ingekuwa imetungulia na kushushwa chini basi vipande lazima vingeonekana vikielea baharini, lakini viko wapi vipande hivyo? Ndege ya Boeing 777, imetoweka ghafla kwenye uso wa dunia, IMETOWEKA, ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.

Swali # 4

Mahala ambapo ndege hiyo ‘imepotelea’ panafahamika. Waongozaji wa ndege wanakuwa taarifa zote za ndege husika, kumbuka wao ndiyo waongozaji, hivyo nukta ambayo ndege inakata mawasiliano na wao wanakuwa wanafahamu ilikuwa eneo gani, ilikuwa kwenye mwendo kasi wa aina gani, vyote hivyo vinaweza kutumika kuelekeza ni wapi mapande ya ndege hiyo yanaweza kuwa yameangukia. Lakini ni vipi ndege hii ya Malaysia imeshindwa kupatikana chochote pamoja na kwamba inafahamika ni wapi nukta ya mwisho ilionekana kwenye rada?

Swali #5

Tuseme Ndege 370 ya Malaysia imetekwa, lakini ndege haipotei kwenye rada hata kama ikitekwa. Sasa inakuwaje ipotee hata kwenye rada isionekane?

Ndege nambari 370 ya Malaysia aina ya Boing 777 HAIJALIPUKA, HAIJANGUKA KOKOTE, ILA IMETOWEKA? KIVIPI??

Itaendelea....

View attachment 468866
Mabaki ya ndege hiyo yaliokotwa na wavuvi Zanzbar na baadae mabaki hayo yalipelrkwa Malasysia kwa uchunguzi.
 
Umemjibu vizuri sana; na kama ni mtu wa kuelewa amekuelewa. Watu wa conspiracy theory hawa wana matatizo. Kila kitu ni illuminati na mijongeo ya namba hata kama haina uhusiano. Ona sasa mpaka anadanganya eti (Boeing) 777 inagawanyika na 11? Asante Richaabra!
Nilitaka kuwajibu kwa hoja lakin sababu mmekuja na matusi kutaka kiki kuwaaminisha umma kwamba nyie ndo mnajua sana kwamba wengine ni wajinga ..kama kumjibu mtu kwa hoja hadi umtukane kwanza basi endeleeni watalaamu wa kufafanua mambo hahaha. "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake.
Mtoa post usiwe mjinga

Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei

Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline

ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona

So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana

Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari


Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita

Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano


Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370
 
Nilitaka kuwajibu kwa hoja lakin sababu mmekuja na matusi kutaka kiki kuwaaminisha umma kwamba nyie ndo mnajua sana kwamba wengine ni wajinga ..kama kumjibu mtu kwa hoja hadi umtukane kwanza basi endeleeni watalaamu wa kufafanua mambo hahaha. "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake.
Ni nani aliyekutukana? Binafsi nilishaachana na tabia ya kutukanana na watu nisiowafahamu mtandaoni. Lakini hata kama umetukanwa, so what? Are you that psychologically fragile?

Anyway, kaa na welewa wako mkuu. Hujalazimishwa and nobody cares!!! Salim Msangi hapo juu (comment # 12) anadai ume-plagiarize lihabari lote hili kutoka katika blog yake na haishangazi kama hujui cho chote kuhusu suala hili. Ndiyo shida za kuokota okota mambo mitandaoni. Kuna documentary ya Discovery Channel kuhusu possibilities mbalimbali zilizoipata ndege hii kuanzia conspiracies mpaka sababu za kisayansi. Itafute ujielimishe lakini hizi porojo zako za eti 777 inagawanyika na 11 zimekataliwa. Asante kwa kuzira!!!
 
Nimevutiwa na simuliz yako mkuu, ebu endelea iko vzr,, hayo yanayodiss ndo machaw kbsaa,,
 
Mtoa post usiwe mjinga

Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei

Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline

ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona

So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana

Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari


Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita

Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano


Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370

bro nimekuelewa sana...
 
HII NI MARA YA PILI SASA UNAKOPI POSTI KUTOKA KWENYE BLOGI YANGU, "salim msangi" na kuviweka huku kwenye JAMII FORUM KAMA VILE WEWE NDIYE ORIGINATOR WA THEMES/TOPIC/POST.
TAFADHALIA ZINGATIA SHERIA YA MITANDAO NA SHERIA YA HABARI. TAFADHALI KABLA YA KUFANYA TENA HIVYO AU KUEDNELEA KUKOPI NA KUPOSTI KUTOKA KWENYE BLOGI NILIYOITAJA HAPO JUU, WASILIANA NA MIMI KWA NJIA YEYOTE ILE INAYOWEZEKANA, VINGINEVYO SHERIA ITAFUATA MKONDO WAKE.
KENGO LA KUFANYA HIVI NI KUILINDA KAZI YANGU. WADAU WAMEULIZA MASWALI NA WAMECRITISIZE ULICHOKIPOSTI HAPA LAKINI SI DHANI KAMA UTAWEZA KUYAJIBU AU KUWAELEWESHA, SABABU WEWE SIYO ORIGINATOR WA MADA HUSIKA, TAFADHALI, WASILIANA NA MIMI KABLA YA KUENDELEA NA UTARATIBU HUU.

Au kwa vile hajaandika sorce:-Salim Msangi .
 
Wakuu nyie wote huwa nawakubali sana
Sasa nashangaa ndege inapotea Malaysia halafu nyie mnagombana huku jf.
Lets have peace wakuu.
Nawaaminia
9b5b720d822041abe45f6ecc2bb68691.jpg
kichaa kilishanipanda n way oky
 
Mtoa post usiwe mjinga

Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei

Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline

ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona

So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana

Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari


Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita

Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano


Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370

Umesema kweli kiongozi
 
Upuuuzi. Kwa akili hizi bongo haiwezi kuendelea sababu watu akili zao zimejaa conspiracy theories tu, Freemasonry, illuminatei, uchawi na ulozi mambo ambayo yote ni story za kusadikika.

FYI wanadamu wanajua na wame explore zaidi space kuliko Sea. Hadi leo tunajua takribani 5% tu ya bahari na 95 bado haijawa explored, kuna maeneo na viumbe huko chini hatuna idea kabisa kukoje. Sio kwamba hatupendi kujua dunia yetu kwa undani bali kuna changamoto nyingi sana za explore bahari kuliko space, kuna sehemu baharini hatuna chombo kinachoweza kufika kwa technology ya Leo. Hivyo kama ndege hii ilianguka katika moja ya hayo maeneo ni ngumu sana kujua its whereabouts.

Achana na story za abunuasi jiongeze maarifa.
 
Upuuuzi. Kwa akili hizi bongo haiwezi kuendelea sababu watu akili zao zimejaa conspiracy theories tu, Freemasonry, illuminatei, uchawi na ulozi mambo ambayo yote ni story za kusadikika.

FYI wanadamu wanajua na wame explore zaidi space kuliko Sea. Hadi leo tunajua takribani 5% tu ya bahari na 95 bado haijawa explored, kuna maeneo na viumbe huko chini hatuna idea kabisa kukoje. Sio kwamba hatupendi kujua dunia yetu kwa undani bali kuna changamoto nyingi sana za explore bahari kuliko space, kuna sehemu baharini hatuna chombo kinachoweza kufika kwa technology ya Leo. Hivyo kama ndege hii ilianguka katika moja ya hayo maeneo ni ngumu sana kujua its whereabouts.

Achana na story za abunuasi jiongeze maarifa.
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbav wake.
 
Ni upuuzi kila kitu kulazimishia namba na kuhusisha illuminati na freemaso. watu wameshashtuka kwa sasa. hebu gawanya 777 kwa 11 igawanyike iishe. wabongo mnapenda sana mambo ya kishirikina. na ukikutana na watu kadhaa huko wakakuhusishia na ushirikina basi unakimbilia kuja kuanzisha thread. tumechoka kila siku habari za conspiracy theory hata kwenye vitu ambavyo ni dhahiri kabisa.
 
Back
Top Bottom