Ndio maana mimi nasema ccm haifai. Mtu akijitoa tu, anaanza kufuatiliwa na kuwekewa vikwazo. Huu mfumo hautakiwi kwenye jamii za watu waliostaarabika.Hahahaaa I know.
But at least they should make it official.
Bado anagombea au hagombei?
Halafu natabiri atarudi tu CCM....you watch this space.
Sasa hivi kawa irrelevant hadi anatia huruma.
CCM ni mafia sana ,hata mgombea wa chadema jimboni kwetu hapa wamefunga hela zake benki ili akose za kampeni ,ccm ni wahuni ,pamoja na tume ,polisi bado ni weupe hawawezi kujinadi ndo maana wanatumia polisi ,tume na wasaniiWalifunga A/C zake wakafunga A/C za kila mtu wanayeona anawasiliana na membe hasa akiwa ni mfanyabiashara au mtu yeyote mwenye kipato na hata alipojaribu kwenda Dubai kuchukua pesa wakampora zote na wasaidizi wake kuwekwa ndani wakachezea kichapo kujua kama wana siri yeyote ya pesa zake , kwa kifupi membe hana Pesa za kufanya kampeni kabanwa mbavu vibaya sana.
Kurudi atarudi, na sio yeye pekee wako wengi hata wale ambao ni wanaccm jina tuu kwa sasa.Hahahaaa I know.
But at least they should make it official.
Bado anagombea au hagombei?
Halafu natabiri atarudi tu CCM....you watch this space.
Sasa hivi kawa irrelevant hadi anatia huruma.
Kabisaa, yaani tuwape ruzuku ya kampeni ili Tl asimame aseme hakuna tulichofanya na ss ni madiktator?Chadema wana ruzuku kubwa wana Akiba nyingi kuliko vyama vingine hata umati wa mikutano yote huchangia pia ni vigumu chadema wafeli kufanya kampeni
Kwa hiyo kimbunga kimemsomba yeye mwenyewe au?Membe anamuunga mkono Tundu Lissu. Ndiyo maana hataki kuzunguuka nchi ili kugawa kura.
Membe ni hero, hataki kuumiza upinzani!
Utakuwa na matatizo ya akili kamwone daktari mapema kabla hujawa zezeta!Kurudi atarudi, na sio yeye pekee wako wengi hata wale ambao ni wanaccm jina tuu kwa sasa.
Baada ya Jiwe kuukosa urais ni wazi hata kuwa na nguvu alizonazo ndani ya ccm tena. Hapo ndio ccm asili watakapo mfurumusha bila ajizi na wanaccm halisi watarudi kujenga chama chao.
Kinacho mlinda jiwe nafasi ya juu ndani ya chama ni nguvu zake za dola, vinginevyo hana ubavu wa kupambana ndani ya chama
Hagombei,ameishasemaHivi ndo kusema huyu ‘jasusi mbobezi’ keshaacha kugombea urais?
Kuna taarifa rasmi labda iliyotolewa kuhusu yeye kutokuwa mgombea tena ambayo labda mimi sikuiona?
Manake yuko kimya sana.
Alitangaza mwenyewe kuhusu kimbunga cha ACT na kwamba hakizuiliki.
Au hicho kimbunga kimeishia kumsomba yeye mwenyewe?
Huyu mtu bado anagombea au hagombei?
Halafu yuko wapi?
Yeye kapokonywa pesa zake zote kimya kimyaJamaa anamchukia sana JPM sijui walikosana kitu gani halafu mbona yeye hakupokonywa mashamba kama Sumaye
Membe anafanya marudio tu ya kile alichofanya Lowassa na mwenzie Sumaye!,... kuibomoa ACT Wazalendo na baada yake kurudi CCM. Hakuna ubishi kwenye hilo kwani ameishafanikiwa kwa asilimia zaidi ya 40 hadi sasa. 🤔Hahahaaa I know.
But at least they should make it official.
Bado anagombea au hagombei?
Halafu natabiri atarudi tu CCM....you watch this space.
Sasa hivi kawa irrelevant hadi anatia huruma.
Wamekula pesa zake zote wamefunga A/C zake za rafiki zake na wanachunguza kila mmoja anayewasiliana nae yupo kisiwani kwenye idara inayohusu pesaAmepotea kbs, yaani tangu msaidiz wake akamatwe na hela na kuzikana, basi wamekosa hela hata ya kukodi speaker tu
Lowasa na Sumaye walikuwa huru na pesa zao hawakufungiwa A/C zao, lakini membe kabanwa mbavu hapumui yupo hoi hana kitu kabakia kunung’unika tuMembe anafanya marudio tu ya kile alichofanya Lowassa na mwenzie Sumaye!,... kuibomoa ACT Wazalendo na baada yake kurudi CCM. Hakuna ubishi kwenye hilo kwani ameishafanikiwa kwa asilimia zaidi ya 40 hadi sasa. 🤔
CCM haipendwi tena hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura na hasa wakizidi kusikia mbinu zao za kuwafungia watu A/C kienyeji kwa njia haramu za kishetaniCCM ni mafia sana ,hata mgombea wa chadema jimboni kwetu hapa wamefunga hela zake benki ili akose za kampeni ,ccm ni wahuni ,pamoja na tume ,polisi bado ni weupe hawawezi kujinadi ndo maana wanatumia polisi ,tume na wasanii
Haoni ndani kwa yule anaepigia magoti watoto wa shule kuomba kura.Kuna yule mwingine amegeuka comedy nahisi kesho atajifanya kondakta
Kwasababu mtamwibia kura si ndiyo mkuu?!!!!Hata huyo mgombea Wa Vibendera wa Tanzania Chadema Ni Kumjaza tu upepo. Kwa Magufuli hatapata hata 20% Utaona tu.
naomba ufafanuzi kidogo kwenye kufunga Akaunti ya benki ya mtu .Hvi serkali inaruhusiwa kwenda kumfungia mtu akanti yake ambayo ipo nje ya nchi bila sababu za msingi?Na je ikitokea hvyo ww mhanga unapaswa ufanye nn ili uweze kupata fedha zako?Walifunga A/C zake wakafunga A/C za kila mtu wanayeona anawasiliana na membe hasa akiwa ni mfanyabiashara au mtu yeyote mwenye kipato na hata alipojaribu kwenda Dubai kuchukua pesa wakampora zote na wasaidizi wake kuwekwa ndani wakachezea kichapo kujua kama wana siri yeyote ya pesa zake , kwa kifupi membe hana Pesa za kufanya kampeni kabanwa mbavu vibaya sana.
Umesikia wapi?,Nani kakwambia?kukosa mvuto wa kisiasa kumemponza bwana membe, kwa sasa anajutia kugombea huenda aibu hii isingemkuta