Wapi mkoani Dar es Salaam kuna Chinese restaurant nzuri?

Kama kuna wahusika wakichina wenyewe basi natumai patakuwa pazuri,
Shukrani sana mkuu, ntapita hizo sehemu nifanya ukaguzi wangu mwenyewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora angekuwa mchina si ndio kama wakina malcom lumumba wapenzi wa vyakula vya kichina
πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜€πŸ˜€
 
Zhong hua Garden, Victoria, Ali Hassan Mwinyi Road.

Sijui kama wana chakula kizuri ila naijua kwakua iko upande ambao nilikua natafuta mkate wa kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…