Kasema hajui ni kitu gani hiki.asante kijana wangu.
Haya muulize mkwe wangu kama anajua inapopatikana hiyo product
Check pia ebayDogo najua ukifika napata jibu Lamomy
Dada umepotea ulifichwa wapi wewe??Dogo najua ukifika napata jibu Lamomy
Dawa ya nguvu za kike 😹😹Kasema hajui ni kitu gani hiki.
Achukue moja kwa moja ebay awe na uhakika hawa wa huku hawachelewi kukuumua sura, nilitumia sunscreen moja ilinitoa harara mpk hun akajua tayari.!!Check pia ebay
Hahaha mambo ya kojic acid sijuiAchukue moja kwa moja ebay awe na uhakika hawa wa huku hawachelewi kukuumua sura, nilitumia sunscreen moja ilinitoa harara mpk hun akajua tayari.!!
SahihiThanks..
Huko nitapata sema hadi ifike kauso katazidi kuparara.
Unadhan itachukua muda gan jufika bongo?
Sijafichwa mdogo wangu sema kuna shem wako mmoja ananivuga yaan siku ukiwa gaidi anza kuua wapare wote wa kiume😀,sio watu hao😀.Dada umepotea ulifichwa wapi wewe??
Bongo og bado sana wengi wana wanazitoa kutoka dubai au China wanabandika stika, magumashi mengi.!!
Mimi nikinunua kitu nikiwa na wenge nacho nascan barcode 😹😹😹
Ila jaribu kwa huyu ndugu yangu Muzungu store Kkoo msimbazi pale.
Au km vipi agiza moja kwa moja DHL wakuletee mzigo wako.
Sh armon zamani siku hizi Sauli naye anazingua anamix, genuine product kupata bongo hii labda uwe na normal skin haichagui ila hizi zetu zenye maringo 😹😹😹Hahaha mambo ya kojic acid sijui
Ni hatari
Ila nahis Sh armon ana genuine product kwa bongo
Japo sina uhakika lakini ndo nazitumia since
Wapare ni mbwa mbona mi nasemaga 😹😹😹Sijafichwa mdogo wangu sema kuna shem wako mmoja ananivuga yaan siku ukiwa gaidi anza kuua wapare wote wa kiume😀,sio watu hao😀.
Anywayz.Kama wewe umesema hakuna acha niendelee kuwapigia goti hawa diaspora au DHL mana kupaka kitu cha kkoo usoni naogopa sana.
Jestina wa Zurii pia alikua analeta vitu toka UK ila sasa nikishaona duka lina product na za china nawaza u genuine wa hizo nyingine pia.Hahaha mambo ya kojic acid sijui
Ni hatari
Ila nahis Sh armon ana genuine product kwa bongo
Japo sina uhakika lakini ndo nazitumia since