Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😂😂😂 kwahiyo unamix matairi fake na og?Basi acha tuendelee kuwauzia mpaka nyundo feki ukigonga msumari nyundo inavunjika anarudi kununua nyingine
Kwa kweli hata mimi nimechanganya bidhaa sana unakuta tairi moja bei mara 4 ya feki unaweka yote tu
Bongo hakuna kinachoshindikana, huku mpk Beyonce imported from kikuu wapo.!!