Pridah
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 1,495
- 3,453
- Thread starter
- #21
😀😀 yaani wale ni mbweha😂.Wapare ni mbwa mbona mi nasemaga 😹😹😹
Hilo kabila wanaume wote vibuyu 🤣
Ww wabembeleze hao diaspora wakufanyie wepesi waitume kwa DHL mambo yaishe, wafanyabiashara watakuharibia muonekano wako na dada yangu ulivyo mzuri.!!
Diaspora wanaringa wanakuja kila siku ila wanajidai siku hizi kilo chache wanaruhusiwa kubeba.Ngoja niache ubahili nitumiwe tu kwa dhl.
Sina uzuri wowote dogo ila nasemaga uzuri nikose na usoft pia nikose😂😀