Wapi napata genuine CLINIQUE PRODUCTS kwa Dar?

Wapi napata genuine CLINIQUE PRODUCTS kwa Dar?

Anapatikana vipi?
Kwa machimbo hakuna anaemfikia huyo .. utajiongeza mwenyewe namna ya kumpata.. mi nakupa Tu profile hiyo apo ⬇️⬇️
 

Attachments

  • Screenshot_20240722-203725.png
    Screenshot_20240722-203725.png
    107.6 KB · Views: 5
😂😂😂 Tena hizo saa ndio utacheka, kuna mtu alinionyesha saa ya 70,000 Rolex akaniambia og nikabaki nasikitika peke yangu.!!
Huku bongo tuvae copy tyuu.!!
Hata iPhone copy zipo kibao bongo 😂
iPhone feki nazisikia tu. Zikoje? Ndo zile ukiziwasha inaonyesha logo ya Itel?
 
iPhone feki nazisikia tu. Zikoje? Ndo zile ukiziwasha inaonyesha logo ya Itel?
Ziko km hizi og na kila kitu kinafanana hata ukiwasha linatokea tunda ila kwenye iOS ndio mtihani kitu cha android 🤣🤣🤣
Mara nyingi wanazifungia, nina rafiki yangu ana import kutoka Dubai ndio biashara zake.!!
 
😂😂😂 Tena hizo saa ndio utacheka, kuna mtu alinionyesha saa ya 70,000 Rolex akaniambia og nikabaki nasikitika peke yangu.!!
Huku bongo tuvae copy tyuu.!!
Hata iPhone copy zipo kibao bongo 😂
😁😂😁
Kweli bora copy coz utavaa kitu kina thamani ya IST na hakuna atakayeshituka sbb mtu anaona ni sawa na ile yake ya kkoo.
Sema kwa bongo naonaga ni bora mtu uvae brands za kawaida kuliko hayo ma big brands fake.
 
😁😂😁
Kweli bora copy coz utavaa kitu kina thamani ya IST na hakuna atakayeshituka sbb mtu anaona ni sawa na ile yake ya kkoo.
Sema kwa bongo naonaga ni bora mtu uvae brands za kawaida kuliko hayo ma big brands fake.
😂😂😂 Bongo hata ukivaa og hawashtuki, bora ujivalie brand za kawaida maisha yaendelee.!!
 
Ziko km hizi og na kila kitu kinafanana hata ukiwasha linatokea tunda ila kwenye iOS ndio mtihani kitu cha android 🤣🤣🤣
Mara nyingi wanazifungia, nina rafiki yangu ana import kutoka Dubai ndio biashara zake.!!
Cha muhimu mirror selfie😀😂
 
😂😂😂 Bongo hata ukivaa og hawashtuki, bora ujivalie brand za kawaida maisha yaendelee.!!
Nina fundi wangu bitozi akimaliza kazi jioni anapaka yale mafuta ya mgando yananukiaaaa halafu anatupia tshirt yake matata ya Bucci(sio gucci) hlf anakwambia,hivi shem tukikutana huko duniani utajua mi fundi ujenzi,namwmbia itakua ngumu kujua,anafurahi anasema shem mi bongo bahati mbaya.

Sasa hapo ukija na gucci yako ya mamilion anakuona mwenzie tu na huna kitu utafanya😁
 
Hilo ndio muhimu bila kusahau yale macho matatu 😂😂😂
Kuna siku nilisikia mtu anaulizia kama kuna cover ya simu inayofanana na iphone,mwanzoni sikuekewa ila nilivyoelewa nilichoka😁
 
Ziko km hizi og na kila kitu kinafanana hata ukiwasha linatokea tunda ila kwenye iOS ndio mtihani kitu cha android 🤣🤣🤣
Mara nyingi wanazifungia, nina rafiki yangu ana import kutoka Dubai ndio biashara zake.!!
Hizo feki huwa zina IMEI number?
 
Nina fundi wangu bitozi akimaliza kazi jioni anapaka yale mafuta ya mgando yananukiaaaa halafu anatupia tshirt yake matata ya Bucci(sio gucci) hlf anakwambia,hivi shem tukikutana huko duniani utajua mi fundi ujenzi,namwmbia itakua ngumu kujua,anafurahi anasema shem mi bongo bahati mbaya.

Sasa hapo ukija na gucci yako ya mamilion anakuona mwenzie tu na huna kitu utafanya😁
😂😂😂 nimecheka yani huyo achinjwe xmas kazingua na kaharibu kabisa Bucci tenaah.!!
Km slippers za ZARA mchina katoa copy zake kaziandika ZABA ili kuwafariji wanunuzi.!!
 
Back
Top Bottom