Basi km hivyo ni balaa πππSio tamaa unajipenda na ni vizuri.
Mimi ni king'ang'anizi jamani,ukinitumia nitatumia huku nasema si bora angeniongezea tu rituals au cliniqueππ.Yaani niko addicted na hizi products hlf zikiisha kabla sijatumiwa nahaha kila nikijaribu vipya siridhiki.Nahisi na ushamba unachangia utaharibu hela zako bure mdogo wangu ila
asante una roho nzuri kama wewe mwenyewe
View attachment 3050301View attachment 3050304
πππ pole, ulimlipa kweli?πππ nilichoka.
Balaa yaani.Basi km hivyo ni balaa πππ
Nimependa bathroom yako dada yangu msafi πππ
Ahsante ningekutumia kweli ila nitakujaribisha sikubaliiii π
Ulienda wapi sasa. Mimi nalala basi usiku mwemaπ»π»Nakutafuta kule sikuoni nilitoka mara moja πΉ
Njoo basi kule, unishtue ukifika.!!
πππ usijali unakaribishwa dada mkubwaBalaa yaani.
Asante.πππ .
Kuna siku vitaisha hlf nitakosa wakuniletea utaona ntavokumbushia hii ahad yakoππ .
Nimekucheck jana kuna sehemu nilienda nikawa busy, leo tukutane kule saa 2 ndio muda mzuri.!! π»π»Ulienda wapi sasa. Mimi nalala basi usiku mwemaπ»π»
πππ huyo muaminifu anajua anachokifanyaππNdio ila alinibadilishia
Hiπ»Nimekucheck jana kuna sehemu nilienda nikawa busy, leo tukutane kule saa 2 ndio muda mzuri.!! π»π»
Ikifika saa 21:30 natoka hivyo utanichelewa.
Sisy nimeingiza mzigo mpya bana wa Zaba si nikakumbuka wacha nicheke πΉπΉπΉAsante mdogo wangu zidi kubarikiwaπππ
Shoga angu huyo π»π»π»Hiπ»
Poa shooπ»π»π»Shoga angu huyo π»π»π»
Mambo vipi shei?
Me too darling π»π»π»Poa shooπ»π»π»
Nimekumiss, vipi hali?
πππ nina muda sijalog in dogo sasa nalog in nakutana na hii nimecheka sana aisee.Sisy nimeingiza mzigo mpya bana wa Zaba si nikakumbuka wacha nicheke πΉπΉπΉ