Wapi napata genuine CLINIQUE PRODUCTS kwa Dar?

😁😁😁 nina muda sijalog in dogo sasa nalog in nakutana na hii nimecheka sana aisee.
Kama nakuona unavyojikausha wateja tukichagua 😁😁
ila pambana mdogo wangu cha muhimu okoto lisome?
Yani nacheka sana, sasa tufanyeje na mi naangalia maokoto 🀣🀣🀣
 
😁😁😁 ukileta bucci nishtue tumfanyie wepesi mzee wa kujikubali
🀣🀣🀣 mzee wa bongo bahati mbaya lazima nimletee vitu vyake akimbize kitaa
 
Walah mimi ninapenda wanawake wenye vipele kwani hupenda kuvikuna tuwapo faragha.
 
Yani nacheka sana, sasa tufanyeje na mi naangalia maokoto 🀣🀣🀣
Mwendo ni huo huo mamii.
Tunaangalia soko linatakaje?
Si unaona Ngabu kashindwa kuuza viatu vyake OG.
Sisi huku tuna OG zetu mnazotuleteaga kina lamomy h na tunaringa na tunajikubaliπŸ˜πŸ˜„
 
🀣🀣🀣 mzee wa bongo bahati mbaya lazima nimletee vitu vyake akimbize kitaa
Atakimbiza balaa.
Lazima kila mtu atajua kuwa hiyo ni OG.
Utasikia sivai mavitu feki mimiπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Mwendo ni huo huo mamii.
Tunaangalia soko linatakaje?
Si unaona Ngabu kashindwa kuuza viatu vyake OG.
Sisi huku tuna OG zetu mnazotuleteaga kina lamomy h na tunaringa na tunajikubaliπŸ˜πŸ˜„
Nimecheka khaaaa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ngabu akivaa og na sisi huku tunamlipa na copy, wakikutana viwanja wako sawa wanavimba.!!
Ni mwendo wa kufokeana og na copy mpk kieleweke.!!
 
Atakimbiza balaa.
Lazima kila mtu atajua kuwa hiyo ni OG.
Utasikia sivai mavitu feki mimiπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Sis em niache mwenzio mbavu zinauma, hapa naimagine anavyokuwa anaongea kwa mbwembwe km yuko kwa mambele 🀣🀣🀣

Eti β€œsivai mavitu feki mimi” πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimecheka khaaaa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ngabu akivaa og na sisi huku tunamlipa na copy, wakikutana viwanja wako sawa wanavimba.!!
Ni mwendo wa kufokeana og na copy mpk kieleweke.!!
Sasa Ngabu ndo akutane na mzee wa bucci akiwa na Zaba yake ulomletea😁😁
Hashindwi kusema Ngabu katupia vitu feki Zaba yake ndo OGπŸƒπŸƒπŸ˜„πŸ˜„
 
Sis em niache mwenzio mbavu zinauma, hapa naimagine anavyokuwa anaongea kwa mbwembwe km yuko kwa mambele 🀣🀣🀣

Eti β€œsivai mavitu feki mimi” πŸ˜‚πŸ˜‚
😁😁😁
Nifanye niwakutanishe tu😁😁
 
Uso wenyewe basi tu. Hata ukipaka mkorogo wa Tanga bado poa tu
 
Vaseline yanitosha. Sura nzito kama futari ya magimbi ndo utafutie bidhaa za USA na kwingineko! Agiza mawese Kigoma
Sasa si najaribu kuipunguza uzitto mkuu?
Anywayz,kama unayo hayo mawese nipe basi shosti angu?
 
Ndio ujue jinsi gani wapare wanawakosha wadada, tupo on top kabisa🀣🀣 na acha kutusagia kunguni.
🀣🀣🀣🀣🀣
Mmeshindikana mbinguni na duniani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…