Yani nacheka sana, sasa tufanyeje na mi naangalia maokoto π€£π€£π€£πππ nina muda sijalog in dogo sasa nalog in nakutana na hii nimecheka sana aisee.
Kama nakuona unavyojikausha wateja tukichagua ππ
ila pambana mdogo wangu cha muhimu okoto lisome?
π€£π€£π€£ mzee wa bongo bahati mbaya lazima nimletee vitu vyake akimbize kitaaπππ ukileta bucci nishtue tumfanyie wepesi mzee wa kujikubali
Walah mimi ninapenda wanawake wenye vipele kwani hupenda kuvikuna tuwapo faragha.Habari.
Naomba msaada kwa anayejua kwa Dar ni wapi naweza kupata CLINIQUE 3 STEPS SET isio fake.
Kuna niliyonunua somewhere,sitataja duka ila nahisi ni fake sbb nimepaka siku moja tu asubuhi nakuta nimepatwa na huto tupele usoniππ πππππ
Imebidi niitupe ila sijui kitu kingine cha kupaka usoni zaidi ya CLINIQUE ambayo naitumia toka niko msichana mpaka leo niko mbibi..
Kabla hujauliza siku zote nilikua nanunua wapi,jibu ni huwa naletewa kutoka abroad ila hajapatikana mtu wa kuja Tz kuniletea na ishaniishia.
NATANGULIZA SHUKRANIView attachment 3048999View attachment 3049001
Mwendo ni huo huo mamii.Yani nacheka sana, sasa tufanyeje na mi naangalia maokoto π€£π€£π€£
Nimecheka khaaaa!! ππππMwendo ni huo huo mamii.
Tunaangalia soko linatakaje?
Si unaona Ngabu kashindwa kuuza viatu vyake OG.
Sisi huku tuna OG zetu mnazotuleteaga kina lamomy h na tunaringa na tunajikubaliππ
Sis em niache mwenzio mbavu zinauma, hapa naimagine anavyokuwa anaongea kwa mbwembwe km yuko kwa mambele π€£π€£π€£Atakimbiza balaa.
Lazima kila mtu atajua kuwa hiyo ni OG.
Utasikia sivai mavitu feki mimiπππ
Sasa Ngabu ndo akutane na mzee wa bucci akiwa na Zaba yake ulomleteaππNimecheka khaaaa!! ππππ
Ngabu akivaa og na sisi huku tunamlipa na copy, wakikutana viwanja wako sawa wanavimba.!!
Ni mwendo wa kufokeana og na copy mpk kieleweke.!!
Uso wenyewe basi tu. Hata ukipaka mkorogo wa Tanga bado poa tuSijafichwa mdogo wangu sema kuna shem wako mmoja ananivuga yaan siku ukiwa gaidi anza kuua wapare wote wa kiumeπ,sio watu haoπ.
Anywayz.Kama wewe umesema hakuna acha niendelee kuwapigia goti hawa diaspora au DHL mana kupaka kitu cha kkoo usoni naogopa sana.
Vaseline yanitosha. Sura nzito kama futari ya magimbi ndo utafutie bidhaa za USA na kwingineko! Agiza mawese KigomaMkorogo paka wewe kwa niaba yangu
Ndio ujue jinsi gani wapare wanawakosha wadada, tupo on top kabisaπ€£π€£ na acha kutusagia kunguni.
Asante pridahππππ Eroni hana baya usinigombanishe naeπ
π€£π€£π€£π€£π€£Ndio ujue jinsi gani wapare wanawakosha wadada, tupo on top kabisaπ€£π€£ na acha kutusagia kunguni.
E bay anauzaje?Achukue moja kwa moja ebay awe na uhakika hawa wa huku hawachelewi kukuumua sura, nilitumia sunscreen moja ilinitoa harara mpk hun akajua tayari.!!