Wapi napata genuine CLINIQUE PRODUCTS kwa Dar?

Wapi napata genuine CLINIQUE PRODUCTS kwa Dar?

😁😁😁 nina muda sijalog in dogo sasa nalog in nakutana na hii nimecheka sana aisee.
Kama nakuona unavyojikausha wateja tukichagua 😁😁
ila pambana mdogo wangu cha muhimu okoto lisome?
Yani nacheka sana, sasa tufanyeje na mi naangalia maokoto 🤣🤣🤣
 
Habari.

Naomba msaada kwa anayejua kwa Dar ni wapi naweza kupata CLINIQUE 3 STEPS SET isio fake.

Kuna niliyonunua somewhere,sitataja duka ila nahisi ni fake sbb nimepaka siku moja tu asubuhi nakuta nimepatwa na huto tupele usoni😭😭 😭😭😭😭😭

Imebidi niitupe ila sijui kitu kingine cha kupaka usoni zaidi ya CLINIQUE ambayo naitumia toka niko msichana mpaka leo niko mbibi..

Kabla hujauliza siku zote nilikua nanunua wapi,jibu ni huwa naletewa kutoka abroad ila hajapatikana mtu wa kuja Tz kuniletea na ishaniishia.

NATANGULIZA SHUKRANIView attachment 3048999View attachment 3049001
Walah mimi ninapenda wanawake wenye vipele kwani hupenda kuvikuna tuwapo faragha.
 
Yani nacheka sana, sasa tufanyeje na mi naangalia maokoto 🤣🤣🤣
Mwendo ni huo huo mamii.
Tunaangalia soko linatakaje?
Si unaona Ngabu kashindwa kuuza viatu vyake OG.
Sisi huku tuna OG zetu mnazotuleteaga kina lamomy h na tunaringa na tunajikubali😁😄
 
🤣🤣🤣 mzee wa bongo bahati mbaya lazima nimletee vitu vyake akimbize kitaa
Atakimbiza balaa.
Lazima kila mtu atajua kuwa hiyo ni OG.
Utasikia sivai mavitu feki mimi😄😄😄
 
Mwendo ni huo huo mamii.
Tunaangalia soko linatakaje?
Si unaona Ngabu kashindwa kuuza viatu vyake OG.
Sisi huku tuna OG zetu mnazotuleteaga kina lamomy h na tunaringa na tunajikubali😁😄
Nimecheka khaaaa!! 😂😂😂😂
Ngabu akivaa og na sisi huku tunamlipa na copy, wakikutana viwanja wako sawa wanavimba.!!
Ni mwendo wa kufokeana og na copy mpk kieleweke.!!
 
Atakimbiza balaa.
Lazima kila mtu atajua kuwa hiyo ni OG.
Utasikia sivai mavitu feki mimi😄😄😄
Sis em niache mwenzio mbavu zinauma, hapa naimagine anavyokuwa anaongea kwa mbwembwe km yuko kwa mambele 🤣🤣🤣

Eti “sivai mavitu feki mimi” 😂😂
 
Nimecheka khaaaa!! 😂😂😂😂
Ngabu akivaa og na sisi huku tunamlipa na copy, wakikutana viwanja wako sawa wanavimba.!!
Ni mwendo wa kufokeana og na copy mpk kieleweke.!!
Sasa Ngabu ndo akutane na mzee wa bucci akiwa na Zaba yake ulomletea😁😁
Hashindwi kusema Ngabu katupia vitu feki Zaba yake ndo OG🏃🏃😄😄
 
Sis em niache mwenzio mbavu zinauma, hapa naimagine anavyokuwa anaongea kwa mbwembwe km yuko kwa mambele 🤣🤣🤣

Eti “sivai mavitu feki mimi” 😂😂
😁😁😁
Nifanye niwakutanishe tu😁😁
 
Sijafichwa mdogo wangu sema kuna shem wako mmoja ananivuga yaan siku ukiwa gaidi anza kuua wapare wote wa kiume😀,sio watu hao😀.

Anywayz.Kama wewe umesema hakuna acha niendelee kuwapigia goti hawa diaspora au DHL mana kupaka kitu cha kkoo usoni naogopa sana.
Uso wenyewe basi tu. Hata ukipaka mkorogo wa Tanga bado poa tu
 
Vaseline yanitosha. Sura nzito kama futari ya magimbi ndo utafutie bidhaa za USA na kwingineko! Agiza mawese Kigoma
Sasa si najaribu kuipunguza uzitto mkuu?
Anywayz,kama unayo hayo mawese nipe basi shosti angu?
 
Ndio ujue jinsi gani wapare wanawakosha wadada, tupo on top kabisa🤣🤣 na acha kutusagia kunguni.
🤣🤣🤣🤣🤣
Mmeshindikana mbinguni na duniani!
 
Back
Top Bottom