Wapi napata mikopo mikubwa bila riba?

Wapi napata mikopo mikubwa bila riba?

Wakuu!

Wapi napata mikopo mikubwa bila riba?

nipeni hints
Mikubwa ya kiasi gani mkuu?

Halafu unatakaje mkopo usio na riba?

Nani akupe pesa yake ukae nayo tu ufanyie mambo yako halafu usimlipe gharama ya kukaa na hizo hela zake?

Riba ni gharama ya kukaa na kutumia fedha ya mtu.

Mkuu kwenye hii Dunia hakuna kitu cha bure, no free lunch. Ukitaka kula lazima uliwe.
 
Mikubwa ya kiasi gani mkuu?

Halafu unatakaje mkopo usio na riba?

Nani akupe pesa yake ukae nayo tu ufanyie mambo yako halafu usimlipe gharama ya kukaa na hizo hela zake?

Riba ni gharama ya kukaa na kutumia fedha ya mtu.

Mkuu kwenye hii Dunia hakuna kitu cha bure, no free lunch. Ukitaka kula lazima uliwe.
hapo kwene kuliwa hapo duuh
 
Daaah!! chunga ubingwa wako!! Ucje ukavuliwa sw.
KAZI ni kipimo cha UTU
Mbona we jamaa huna akili???
kwani nimesema nataka hela ya bure au mkopo
Kuna taasisi za kupambana na umasikini zinatoa mikopo bure ! Nao wanaliwa?
Serikali inatoa mikopo kwa vijana bure kwaiyo inawala vijana??

mbona una kichwa kama papai unawaza ushoga muda wote!!
mzee kama we huwa unaliwa ni huko huko!
Mi hapa natafuta taarifa sahihi na sitaki hela kutoka kwa mtu binafsi
 
Back
Top Bottom