Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Ndio nataka mapema sana nichukue plot mkuutajiri naona mapema umepata busara za kuwahi kiwanja. huna baya tajiri
Kibaha Mpiji karibu na shule ya msingi Muheza kwenye barabara kwa kipimo cha mita 20*20 = Milion 5 vipo 26 eneo moja, kwa maelezo zaidi 0789 149 581Habari za mda huu natafuta Kiwanja Dar maeneo mazuri yaliyotulia kwa ambae anacho naomba tuwasiliane hili jambo lipo serious na tunaweza kufanya biashara
Hata leo hii nawakaribisha maoni yenu ni wapi pazuri kujenga Kwa Dar es Salaam hata kwa Kibaha itakuwa poa naomba mnitajie na bei kabisa
Umbali Gani morogoro roadKibaha Mpiji karibu na shule ya msingi Muheza kwenye barabara kwa kipimo cha mita 20*20 = Milion 5 vipo 26 eneo moja, kwa maelezo zaidi 0789 149 581
Kibaha kupo vizuriTafuta penye fursa! Kibaha poa.
SawaKuna eneo lipo posta slinauzwa kwaribu na ikulu magogoni 120sqm bei 900m,karibu sana bos
SawaMnunuzi kweli anavyojua Dar ilivyo kubwa anataka kiwanja tu, hata bei ajaweka, haya Mimi ninacho Karibu na residence ya Tibaigana Mbweni nauza : Tsh: 95m, upo wapi ukakague documents?
Sawa sawaMbezi beach, ila uko sawa sawa?
Bila kuweka wazi bajeti yako unatuchora tu mkuuHabari za mda huu natafuta Kiwanja Dar maeneo mazuri yaliyotulia kwa ambae anacho naomba tuwasiliane hili jambo lipo serious na tunaweza kufanya biashara
Hata leo hii nawakaribisha maoni yenu ni wapi pazuri kujenga Kwa Dar es Salaam hata kwa Kibaha itakuwa poa naomba mnitajie na bei kabisa
Kuna eneo lipo kisemvule Lina msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili, kimoja ni master room pamoja na public toiletNa mimi natafuta, barabara ya Morogoro. Bei isizidi Milioni 10