👍👍 au 👎
Basi wewe subiri Viwanda chako utakacho anzisha tutakihesabu kikifika 40,000... Usisahau mkuu ukifungua kiwanda Mhe Rais aje kukizinduaKatika vitu ambavyo usije kufanya kama biashara ya bar.
Itakufanya kupenda ushirikina mkubwa na dhambi nyingi ambazo uzeeni zitakutesa.
Na pili biashara ya bar ni kama mchezaji mpira msimu wako ukipita ni ngumu kurudi. Ni wachache sana waliweza kusimama mda mrefu.
Na wewe unawaza tanzania kuna viwanda au viwanda vya chawa na ccm.Basi wewe subiri Viwanda chako utakacho anzisha tutakihesabu kikifika 40,000... Usisahau mkuu ukifungua kiwanda Mhe Rais aje kukizindua
Watamfirisi aje kumwaga machozi hapa JF.Kopa bank
Watamfilisi kama ataenda kulia maandazi.Watamfirisi aje kumwaga machozi hapa JF.
Sijui kama anafahamu BAR zilizovuma na kufa.Watamfilisi kama ataenda kulia maandazi.
Walevi wana katabia kakufuata vitu vipya na maeneo mapya afungue ila asikae na wahudumu zaidi ya mwezi abadilishe badilishe tena alete visu haswa atadumu kwenye game kidogo.Sijui kama anafahamu BAR zilizovuma na kufa.
Kuna bar ilitamba mwenge katalunya,bar zilizotamba sinza,kinondoni na kwengine muulize ziko wapi?.
Na mueleze kuwa mwisho wa siku bar unageuza danguro kuanzia wahudumu wapyaWalevi wana katabia kakufuata vitu vipya na maeneo mapya afungue ila asikae na wahudumu zaidi ya mwezi abadilishe badilishe tena alete visu haswa atadumu kwenye game kidogo.
Bar na danguro hauwezi kuvitenganisha kibongo bongo 🤣Na mueleze kuwa mwisho wa siku bar unageuza danguro kuanzia wahudumu wapya
Hao wachache na yeye atakuwa ni mmoja wapo..Katika vitu ambavyo usije kufanya kama biashara ya bar.
Itakufanya kupenda ushirikina mkubwa na dhambi nyingi ambazo uzeeni zitakutesa.
Na pili biashara ya bar ni kama mchezaji mpira msimu wako ukipita ni ngumu kurudi. Ni wachache sana waliweza kusimama mda mrefu.
Meridian bar Kinondoni walifanya ukarabati mkubwa kama sikosei mwaka 2021, lakini sasa hivi chali kabisa yaani hawafungui.Sijui kama anafahamu BAR zilizovuma na kufa.
Kuna bar ilitamba mwenge katalunya,bar zilizotamba sinza,kinondoni na kwengine muulize ziko wapi?.
Mkuu unafail wapi wakati ukiwa na cherehani 4 tayari tuliambiwa ni kiwanda. Ukifungua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi ni kiwanda.Basi wewe subiri Viwanda chako utakacho anzisha tutakihesabu kikifika 40,000... Usisahau mkuu ukifungua kiwanda Mhe Rais aje kukizindua