chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Mwambie ukiwa na jembe la kulimia na fyekeo anakiwanda cha kuzalisha mazao.Mkuu unafail wapi wakati ukiwa na cherehani 4 tayari tuliambiwa ni kiwanda. Ukifungua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi ni kiwanda.