Wapi naweza pata mtaji wa kuanzisha BAR

Wapi naweza pata mtaji wa kuanzisha BAR

Katika vitu ambavyo usije kufanya kama biashara ya bar.
Itakufanya kupenda ushirikina mkubwa na dhambi nyingi ambazo uzeeni zitakutesa.

Na pili biashara ya bar ni kama mchezaji mpira msimu wako ukipita ni ngumu kurudi. Ni wachache sana waliweza kusimama mda mrefu.
Kuna watu na bahati zao,yaan bar unakuta ina miaka zaidi ya 10 na kila jioni kuna nyomi
 
Kopa bank
Dar na Chalinze zimeungana majengo matupu

Dodoma na Singinda na morogoro majengo matupu


Mbeya na Songwe vimeu gana majengo matupu

Mafundi wanajenga jamani😇😂😂

Ngoja tujaribu kukopa bank ya Amana
 
U
Katika vitu ambavyo usije kufanya kama biashara ya bar.
Itakufanya kupenda ushirikina mkubwa na dhambi nyingi ambazo uzeeni zitakutesa.

Na pili biashara ya bar ni kama mchezaji mpira msimu wako ukipita ni ngumu kurudi. Ni wachache sana waliweza kusimama mda mrefu.
Usichokijua ni kama usiku wa kiza ! Hakuna biashara inayolipa kama pombe ! Ngoja niishie hapa
 
Sio bahati nimekueleza bar inataka nini kuna mambo lazima ukubari kuyafanya.
Zipo ambazo ziko local tu na wahudumu ni wale mishangaz na mazingira ya kawaida lakin wana wateja wakutosha,labda wanafanya ulozi nisiouona
 
Pombe inalipa ukiwa unauza kwa wauzaji
Vyovyote tu, kiwanda, liquor store, bar/pub pombe inalipa sana ! Speaking form experience ! Kila kitu kina changamoto zake, unatakiwa upambane nazo !!!!
 
Kwenye hii nini yako kulikuwa na Bar Ngapi!? Na sasa zipo ngapi!? Au tunaikaribia Sinza kila nyumba BAR 😂😂
EGAmI60WoAAqh9q.jpeg
 
Kwenye hii nini yako kulikuwa na Bar Ngapi!? Na sasa zipo ngapi!? Au tunaikaribia Sinza kila nyumba BAR 😂😂

Kweli zile sio fikra ni upupuuuuu wa kuwasha mwili mzima
EGAmI60WoAAqh9q.jpeg
 
Au ulidhani natafuta mtaji unifundisheeeeeeeee😂😂😂😂😂Unifundishe KUFARIKI😂😂😂😂

Hii hapa saizi zipo ngapi Bar hapo

EGAmI60WoAAqh9q.jpeg
 
Sio bahati nimekueleza bar inataka nini kuna mambo lazima ukubari kuyafanya.
Baba yetu ulie mbinguni


Bwana yesu Asifiwe

Jina la baba na la mwana


Sio haya kweli labda tueleze masharti ya kufungua bar zaidi ya Jengo na vinyaji na viti na meza😇

Ni kama natakiwa kujifunza kutumia lugha

Jina la baba yako ni nani

Baba kama ulikutana na baba yakl udogoni

Na


Bwana kama mwanamke kaolewa
 
Sijui kama anafahamu BAR zilizovuma na kufa.
Kuna bar ilitamba mwenge katalunya,bar zilizotamba sinza,kinondoni na kwengine muulize ziko wapi?.
Kufa kwa katalunya ni uvamizi wa panya road back 2015, Bar ikafungwa, maana mtaa ukajaa wizi na lile giza. Maana pale palikua ndio dada poa wanapojiuzia wale wa meeda. Walipofungua bar ikafungwa tena.
Waliporudi mwenye nyumba akapandisha kodi. Jamaa waliacha hadi vitu vyao.
 
Nileweshe

Rais Samia: Barabara ya Handeni - Kiberashi - Singida Ijengwe kwa PPP​

 
Nileweshe

Mpambe wa Rais Samia apunguze kutabasamu na kucheka​

 
Nakuambia Nileweshe😂😂

SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?​

 
Nileweshe

Kipindi cha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani unapendelea kupika au kula futari yenye mchanganyiko gani?​

 
Back
Top Bottom