Wapi naweza pata mtaji wa kuanzisha BAR

Kuna watu na bahati zao,yaan bar unakuta ina miaka zaidi ya 10 na kila jioni kuna nyomi
 
Kopa bank
Dar na Chalinze zimeungana majengo matupu

Dodoma na Singinda na morogoro majengo matupu


Mbeya na Songwe vimeu gana majengo matupu

Mafundi wanajenga jamani๐Ÿ˜‡๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ngoja tujaribu kukopa bank ya Amana
 
U
Usichokijua ni kama usiku wa kiza ! Hakuna biashara inayolipa kama pombe ! Ngoja niishie hapa
 
Sio bahati nimekueleza bar inataka nini kuna mambo lazima ukubari kuyafanya.
Zipo ambazo ziko local tu na wahudumu ni wale mishangaz na mazingira ya kawaida lakin wana wateja wakutosha,labda wanafanya ulozi nisiouona
 
Pombe inalipa ukiwa unauza kwa wauzaji
Vyovyote tu, kiwanda, liquor store, bar/pub pombe inalipa sana ! Speaking form experience ! Kila kitu kina changamoto zake, unatakiwa upambane nazo !!!!
 
Kwenye hii nini yako kulikuwa na Bar Ngapi!? Na sasa zipo ngapi!? Au tunaikaribia Sinza kila nyumba BAR ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwenye hii nini yako kulikuwa na Bar Ngapi!? Na sasa zipo ngapi!? Au tunaikaribia Sinza kila nyumba BAR ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kweli zile sio fikra ni upupuuuuu wa kuwasha mwili mzima
 
Au ulidhani natafuta mtaji unifundisheeeeeeeee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Unifundishe KUFARIKI๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hii hapa saizi zipo ngapi Bar hapo

 
Sio bahati nimekueleza bar inataka nini kuna mambo lazima ukubari kuyafanya.
Baba yetu ulie mbinguni


Bwana yesu Asifiwe

Jina la baba na la mwana


Sio haya kweli labda tueleze masharti ya kufungua bar zaidi ya Jengo na vinyaji na viti na meza๐Ÿ˜‡

Ni kama natakiwa kujifunza kutumia lugha

Jina la baba yako ni nani

Baba kama ulikutana na baba yakl udogoni

Na


Bwana kama mwanamke kaolewa
 
Sijui kama anafahamu BAR zilizovuma na kufa.
Kuna bar ilitamba mwenge katalunya,bar zilizotamba sinza,kinondoni na kwengine muulize ziko wapi?.
Kufa kwa katalunya ni uvamizi wa panya road back 2015, Bar ikafungwa, maana mtaa ukajaa wizi na lile giza. Maana pale palikua ndio dada poa wanapojiuzia wale wa meeda. Walipofungua bar ikafungwa tena.
Waliporudi mwenye nyumba akapandisha kodi. Jamaa waliacha hadi vitu vyao.
 
Nileweshe

Rais Samia: Barabara ya Handeni - Kiberashi - Singida Ijengwe kwa PPP​

 
Nileweshe

Mpambe wa Rais Samia apunguze kutabasamu na kucheka​

 
Nakuambia Nileweshe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?​

 
Nileweshe

Kipindi cha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani unapendelea kupika au kula futari yenye mchanganyiko gani?​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ