Tom lee Ab
Member
- Jan 11, 2020
- 41
- 17
Masoko yapo uku dsm yapo tani ngapi na tsh ngapi na dalali yake ngapiHabari wapambanaji wenzangu!
Samahani nilikuwa naomba kuuliza wapi nitapata soko la kuuza mahindi! Natoa mahindi Handeni Tanga! Nilikuwa nina mpango wa kukusanya na kuuza mara moja au mbili kwa wiki hivyo naomba kujua soko ambalo liko reliable!
Natanguliza Shukurani!
Habari wapambanaji wenzangu!
Samahani nilikuwa naomba kuuliza wapi nitapata soko la kuuza mahindi! Natoa mahindi Handeni Tanga! Nilikuwa nina mpango wa kukusanya na kuuza mara moja au mbili kwa wiki hivyo naomba kujua soko ambalo liko reliable!
Natanguliza Shukurani!
Una Tani ngapiHabari wapambanaji wenzangu!
Samahani nilikuwa naomba kuuliza wapi nitapata soko la kuuza mahindi! Natoa mahindi Handeni Tanga! Nilikuwa nina mpango wa kukusanya na kuuza mara moja au mbili kwa wiki hivyo naomba kujua soko ambalo liko reliable!
Natanguliza Shukurani!
Vipi bei saivi inacheza ngapi..?Peleka Dar es salaam Soko la manzese pale darajani unaingia kushoto kama unatokea upande wa Ubungo . Utaona malori mengi yamepaki na Kuna mashine za kusaga Unga wa Sembe ,
Ukiwa. Tayari uniambie nikupe number ya Dalali mzuri pale manzese nawajua kama watatu Wazuri.
Bei ya Leo 31/05 Mahindi ya Tanga Kwa KG 510 Kwa 500/ naahindi ya Kiteto na Dodoma Tshs 540/ Kwa 530/ Kwa KG Moja hiyo Tshs 10 ni ya Dalali Kwa Kila KG Moja.
Makulu wanaochukuwa Tsh 1500/ Kwa Gunia Moja.