talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Amani kwenu wadau wa biashara.
Ndugu zangu huko kijijini wamefanikiwa kuchimba madini ya ruby kwa walivyo niambia, yanakadiriwa kufikia robo tatu ya KG. Ila hawajui wapi wayauze na pia hawana vibali vya uchimbaji maana kwa uwezo wao hawawezi kuwa nao. Pia natambua utata wa kisheria uliopo juu ya umiliki wa madini. maana kwa sheria ya madini iliyopitishwa miaka michache iliyopita hata ukiokota madini uko kwenye kosa kisheria.
Naomba msaada wenu, ni wapi ndugu zangu hawa wanaweza kuuza madini yao kisheria na walipe kodi huku wakipata stahili zao bila kupunjwa??
Nimepitia mitandaoni na kupata bei za kimataifa na inaonesha madini haya yanathamani si haba.... Ila ni wapi wanapoweza kuuza na wasikutana na matatizo ya kisheria?? ni kipi wafanye??
Naweza kuwa nimechanganya madesa katika uandishi wa hoja yangu.... Nisameheni!! Ila dhamira yangu ni kuwasaidia ndugu zangu hawa wasije uza at black market au wakayauza kwa bei ya hovyo kama wazee wetu wakati wa ukoloni walipobadilisha kwa shanga!!
nategemea majibu yatayonisaidia.
Ndugu zangu huko kijijini wamefanikiwa kuchimba madini ya ruby kwa walivyo niambia, yanakadiriwa kufikia robo tatu ya KG. Ila hawajui wapi wayauze na pia hawana vibali vya uchimbaji maana kwa uwezo wao hawawezi kuwa nao. Pia natambua utata wa kisheria uliopo juu ya umiliki wa madini. maana kwa sheria ya madini iliyopitishwa miaka michache iliyopita hata ukiokota madini uko kwenye kosa kisheria.
Naomba msaada wenu, ni wapi ndugu zangu hawa wanaweza kuuza madini yao kisheria na walipe kodi huku wakipata stahili zao bila kupunjwa??
Nimepitia mitandaoni na kupata bei za kimataifa na inaonesha madini haya yanathamani si haba.... Ila ni wapi wanapoweza kuuza na wasikutana na matatizo ya kisheria?? ni kipi wafanye??
Naweza kuwa nimechanganya madesa katika uandishi wa hoja yangu.... Nisameheni!! Ila dhamira yangu ni kuwasaidia ndugu zangu hawa wasije uza at black market au wakayauza kwa bei ya hovyo kama wazee wetu wakati wa ukoloni walipobadilisha kwa shanga!!
nategemea majibu yatayonisaidia.